Nimesahau security code ya Nokia N8 yangu. Nimejaribu 3-finger hard reset bila mafanikio, na nimebahatisha zile defaults zote(?) 0000, 12345 n.k. bila mafanikio pia.
Nimesahau security code ya Nokia N8 yangu. Nimejaribu 3-finger hard reset bila mafanikio, na nimebahatisha zile defaults zote(?) 0000, 12345 n.k. bila mafanikio pia.
Asante mkuu chief-mkwawa, nimekwisha fanya hivyo na nahisi imekuwa successful sababu sasa ina-behave tofauti (ina vibrate kitu ambayo nilikuwa nimeondoa) lakini bado inadai security code
Asante mkuu chief-mkwawa, nimekwisha fanya hivyo na nahisi imekuwa successful sababu sasa ina-behave tofauti (ina vibrate kitu ambayo nilikuwa nimeondoa) lakini bado inadai security code.
By the way, sms zinaingia ila siwezi kusoma na calls pia zinaingia na naweza kujibu
nlikuwa na katatizo kama chako kwenye nokia C7...chief mkwawa helped me alot ''mungu amzidishie''... Ila lastly ilinibidi nkaiflash ''elf15'' simu ikawa bien... Kwa hasira nkaiupgrade ''kwenda belle os'' asa hivi burdaaaani...
KAIFLASH MKUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.