Mzalendo wa TZ
Member
- Sep 2, 2012
- 48
- 7
Ndugu zangu poleni sana kwa majukumu ya kila siku na mawazo makali kwa wale ambao bado tulikosa mikopo kwa first batch ya bodi ya makopo.Ilihaidiwa kuwa tarehe 1/10 zingetolewa form za kukata rufaa kwa wale ambao hawakuridhika kwa kukosa mkopo au kupewa mkopo kidogo lakini haikufanyika hivyo.Sasa ukijaribu kutembelea wabsite ya HESLB na kutaka kuona majina ya waliopewa mikopo utakutana na maneno
[h=1]Not Found
[/h] The requested URL / was not found on this server.
Hii ni ishara kuwa wanaweza kuwa wanaongeza majina ya watu waliopatiwa mkopo hivyo wameamua kuzuia mjina hayo kwa muda kidogo ili kufanya kazi yao kwa ufasaha.Kwa maelezo zaidi tembelea Welcome to HESLB
[h=1]Not Found
[/h] The requested URL / was not found on this server.
Hii ni ishara kuwa wanaweza kuwa wanaongeza majina ya watu waliopatiwa mkopo hivyo wameamua kuzuia mjina hayo kwa muda kidogo ili kufanya kazi yao kwa ufasaha.Kwa maelezo zaidi tembelea Welcome to HESLB