SECOND BATCH YA HESLB YANUKIA,MUDA WOWOTE KUANZIA SASA ITAKUWA HEWANI

Status
Not open for further replies.
Sep 2, 2012
48
7
Ndugu zangu poleni sana kwa majukumu ya kila siku na mawazo makali kwa wale ambao bado tulikosa mikopo kwa first batch ya bodi ya makopo.Ilihaidiwa kuwa tarehe 1/10 zingetolewa form za kukata rufaa kwa wale ambao hawakuridhika kwa kukosa mkopo au kupewa mkopo kidogo lakini haikufanyika hivyo.Sasa ukijaribu kutembelea wabsite ya HESLB na kutaka kuona majina ya waliopewa mikopo utakutana na maneno

[h=1]Not Found
[/h] The requested URL / was not found on this server.

Hii ni ishara kuwa wanaweza kuwa wanaongeza majina ya watu waliopatiwa mkopo hivyo wameamua kuzuia mjina hayo kwa muda kidogo ili kufanya kazi yao kwa ufasaha.Kwa maelezo zaidi tembelea Welcome to HESLB
 
But that z your hypothesis bro! Now u need to test it by checkin with da board ili u accept,reject or modify. Mimi sio mtaalam wa IT but nahic huenda page haifunguki ni matatizo ya kiufundi heslb coz wamekuwa wakisumbuliwa. Ila tujipe moyo update yako nikweli page haifunguki. Let find the truth about t!
 
kwani jamani miaka ya nyuma mambo yalikuwaje kwamba fedha zinakuwa zinatolewa kimtindo gani kwamba kuna batch ya kwanza ya pili ya tatu au ni vipi?
 
Ndugu zangu poleni sana kwa majukumu ya kila siku na mawazo makali kwa wale ambao bado tulikosa mikopo kwa first batch ya bodi ya makopo.Ilihaidiwa kuwa tarehe 1/10 zingetolewa form za kukata rufaa kwa wale ambao hawakuridhika kwa kukosa mkopo au kupewa mkopo kidogo lakini haikufanyika hivyo.Sasa ukijaribu kutembelea wabsite ya HESLB na kutaka kuona majina ya waliopewa mikopo utakutana na maneno

Not Found


The requested URL / was not found on this server.

Hii ni ishara kuwa wanaweza kuwa wanaongeza majina ya watu waliopatiwa mkopo hivyo wameamua kuzuia mjina hayo kwa muda kidogo ili kufanya kazi yao kwa ufasaha.Kwa maelezo zaidi tembelea Welcome to HESLB

Don't speculate until you spectate!
 
Ndugu zangu poleni sana kwa majukumu ya kila siku na mawazo makali kwa wale ambao bado tulikosa mikopo kwa first batch ya bodi ya makopo.Ilihaidiwa kuwa tarehe 1/10 zingetolewa form za kukata rufaa kwa wale ambao hawakuridhika kwa kukosa mkopo au kupewa mkopo kidogo lakini haikufanyika hivyo.Sasa ukijaribu kutembelea wabsite ya HESLB na kutaka kuona majina ya waliopewa mikopo utakutana na maneno

[h=1]Not Found
[/h] The requested URL / was not found on this server.

Hii ni ishara kuwa wanaweza kuwa wanaongeza majina ya watu waliopatiwa mkopo hivyo wameamua kuzuia mjina hayo kwa muda kidogo ili kufanya kazi yao kwa ufasaha.Kwa maelezo zaidi tembelea Welcome to HESLB

Kama unataka kukata rufaa, tembelea web ya OLAS kwani wameshaweka namna ya kukata rufaa.
 
kuhusu swala la second batch ni kweli na mimi mwenyewe nimeverify hilo kwan jana nilienda bodi nikauliza,na hii imetokana na wanafunz wengi wenye faculties ambazo ni PRIORITY kukosa mkopo kutokana na matatizo yao na moja wapo wameiita "SYSTEM CODE PROBLEMS".hivo vijana mnaojiita great thinker b4 hamja criticise swala hakikisha una data za kutosha..
 
ni kweli majina ya mkopo yanaweza yakatoka muda wowote ila sio kwa vigezo ulivyovisema,majina ya mkpo hayajafichwa,yapo hewani ila wameboresha tu mfumo wa kuangalia,unatakiwa uandike jina la unayetaka kumuangalia na code waliokupa ili wasikusumbue kutafuta kwenye majina mengi!!
 
ni kweli majina ya mkopo yanaweza yakatoka muda wowote ila sio kwa vigezo ulivyovisema,majina ya mkpo hayajafichwa,yapo hewani ila wameboresha tu mfumo wa kuangalia,unatakiwa uandike jina la unayetaka kumuangalia na code waliokupa ili wasikusumbue kutafuta kwenye majina mengi!!
Special fakat kibao wngne hadi wabazma!!!
ongezen veto tuimbe tuh
Wimbo-wkt wa mabadiliko
Kukupend-aa hatuach-ii
Kuw-aa naw-ee hatuach-ii
Lowassa ehh hatuach-ii
kusoma number hatuach-ii,
:p:p:p:p:p:p:p:p
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom