Chief Nanga
Member
- Aug 10, 2011
- 42
- 1
Wakuu habari zenyu?
Mimi ni miongoni mwa wale applicants wa 2nd round,nimejaribu kucheki kwenye orodha A na B za matokeo waliyotoa bila kuliona jina langu na si mimi tu kwani kuna washkaji zangu kama wanne hivi wote hatumo.
Ina maana hii second application ilikua zuga ya hawa jamaa wa tcu au kuna wenzetu humu JF wamepata kupitia second application?Naomba mnijuze wakuu kama mpango mzima ndo umekwisha hivyo kama wamechanganya wote 1st na 2nd kwa pamoja.
nawasilisha.
Mimi ni miongoni mwa wale applicants wa 2nd round,nimejaribu kucheki kwenye orodha A na B za matokeo waliyotoa bila kuliona jina langu na si mimi tu kwani kuna washkaji zangu kama wanne hivi wote hatumo.
Ina maana hii second application ilikua zuga ya hawa jamaa wa tcu au kuna wenzetu humu JF wamepata kupitia second application?Naomba mnijuze wakuu kama mpango mzima ndo umekwisha hivyo kama wamechanganya wote 1st na 2nd kwa pamoja.
nawasilisha.