sembuli
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 757
- 383
Nafuatilia kipindi cha makutano show magic fm muda huu saa 9 na robo alasili hii,, kuna huyu jamaa anaitwa sebo anashambulia CDM kama mtu aliyetumwa, anazungumzia vurugu na mauaji ya morogogoro ya ally zona , kwa maongezi yake ni kuwa cdm wamevunja sheria na anaelemea upande wa kamanda shilogile, pia anasema M4C Chadema wamekopi na kupaste kutoka A4C ya kiiza besigye wa uganda.namsikiliza hapa 93.3 dom.katumia maneno makali mpaka fina mango akamwambia yeye hayupo yakimgeukia hayo maneno: kwa anayejua lolote kuhusu huyu SEBO please nahisi pengine ni product ya lumumba!