afkombo
Member
- Feb 9, 2008
- 93
- 11
http://www.cctv.com/program/worldwidewatch/20090709/101274.shtml
Wenye Data zaidi tumwagieni jamani. Maana kama ni kweli,itakuwa kaaaazi kwelikweli!!!Maana tunaweza kuja kupata watu wenye majina kama "Michael Oxford","Kombo Newcastle",Hapendeki Stanford", Sitakiwi MUHAS, Mwanakombo Cardiff,Kindamba Harvard nk.Maana watakuwa wanapewa middle names kutokana na Chuo/Hosp zilipotengenezwa hizo sperms.Haya yangu macho.
Wenye Data zaidi tumwagieni jamani. Maana kama ni kweli,itakuwa kaaaazi kwelikweli!!!Maana tunaweza kuja kupata watu wenye majina kama "Michael Oxford","Kombo Newcastle",Hapendeki Stanford", Sitakiwi MUHAS, Mwanakombo Cardiff,Kindamba Harvard nk.Maana watakuwa wanapewa middle names kutokana na Chuo/Hosp zilipotengenezwa hizo sperms.Haya yangu macho.
Last edited: