Wengi tumesikia ushuhuda wa baadhi ya watu wanaosema kwamba wametibiwa na babu lakini hizo zote ni hearsay bado sijaona uthibitisho wa kisayansi unaaonyesha uponyaji huo.
Kwa hiyo yoyote mwenye uthibitisho aonyeshe hapa:
1)Uthibitisho wa cheti cha daktari unaoonyesha ugonjwa kabla ya kunywa dawa na uthibitisho unaoonyesha ugonjwa uliopona kwa mfano, mtu aliyekuwa HIV positive na baadae kuonekana hIV positive.
2)Uthibitisho mmoja tu unatosha, katika sayansi, only one proof is enough. Kwa hiyo naomba wenye data wazimwage hapa. Bila proof, at lest moja, basi mambo ya loliondo ni mass halucination.
Kwa hiyo yoyote mwenye uthibitisho aonyeshe hapa:
1)Uthibitisho wa cheti cha daktari unaoonyesha ugonjwa kabla ya kunywa dawa na uthibitisho unaoonyesha ugonjwa uliopona kwa mfano, mtu aliyekuwa HIV positive na baadae kuonekana hIV positive.
2)Uthibitisho mmoja tu unatosha, katika sayansi, only one proof is enough. Kwa hiyo naomba wenye data wazimwage hapa. Bila proof, at lest moja, basi mambo ya loliondo ni mass halucination.