Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Hatimae Anorld Schwarzenegger amepasua ukweli kuhusiana na kuachana na mke wake waliyedumu kwa muda wa miaka 25 baada ya Anorld kuweka wazi kua alikua na uhusiano na mwanamke mwingine ambaye wamezaa naye mtoto mmoja. Anorld amewaambia waandishi wa habari kua ilikua ni vigumu mno kumweleza mke wake waliyependana sana kuhusiana na jambo hilo lakini ameomba msamaha kwa mke wake na watoto. baada ya kuachana na mkewe wamekubaliana kuwatunza watoto wao lakini kila mtu achukue ustaraabu wake.