Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
Pick-Up hii aina ya Toyota leo mchana imenaswa na askari wa usalama barabara maeneo ya Posta ya zamani jijini Dar es Salaam ikifanya shughuli za kuwapeleka na kuwarudisha majumbani wanafunzi wa shule moja ya awali ikijulikana kama School Bus licha ya kuwa katika hali ya kuhatarisha usalama wa wanafunzi hao. Pichani ni wanafunzi waliokuwa wamebebwa katika gari hilo wakivuja jasho chini ya turubali lililofunika gari hilo kushika joto la jua. Kulia ni msimamizi wa wanafunzi hao.
School Bus hilo likipelekwa kituo cha polisi kwa uchunguzi zaidi.
School Bus hilo likipelekwa kituo cha polisi kwa uchunguzi zaidi.