Say what you mean, mean what you say.

Miaka mitano mzee mzima, nilidhani miaka 3.

ukitaka kujua watoto tunawa-underestimate angalia wanavyofundishwa shule
Midude mikubw, bora uwe umemwandaa kuvipokea.

Nikupe mfano, mtoto wa miaka 5 na nusu alirudi home na kumwambia mama ake 'am in love na kabinti'
Hapo kama ni wewe lazima upigwe butwaa na kuhangaika
Na watoto ni wepesi sana kuwasoma wazazi wao, mshangao tu mdogo unamfanya asikushirikishe kwa mambo yake kabisa.

Hahahaha Kongosho ole wako kama unaniuzia mbuzi kwenye gunia lol.....watoto wa siku hizi bana ni kuomba tu Mungu awanusuru manake wanajua vitu vingi vikubwa kuliko umri wao hilo sikatai !
 
Last edited by a moderator:
half truth ni pale mfano
umeniuliza swali....una mke?
siko comfortable kukuambia kuwa sijafunga ndoa rasmi
but naishi na mwanamke
naweza tu kujujibu
yes,nina mke

Mimi hapa bado sijaona hiyo half truth plz toa mfano mwingine !
 
Ukisikia 'ulezi' kazi usifikiri ulezi wa uji
Kulea kazi, kwa hiyo kudanganya hakuna justifications.

Hahahaha Kongosho ole wako kama unaniuzia mbuzi kwenye gunia lol.....watoto wa siku hizi bana ni kuomba tu Mungu awanusuru manake wanajua vitu vingi vikubwa kuliko umri wao hilo sikatai !
 
Mimi hapa bado sijaona hiyo half truth plz toa mfano mwingine !

mfano nimekuuliza umetembea na wanaume wangapi...
ukanijibu 'kwa kuwa kuanzia wawili wanahesabika ni wengi,basi tuseme tu ni wengi' lol

umeona jibu hilo?
huwezi later kusema nilidanganywa au huwezi sema alisema wawili...lol

hiyo ni half truth lol
 
mfano nimekuuliza umetembea na wanaume wangapi...
ukanijibu 'kwa kuwa kuanzia wawili wanahesabika ni wengi,basi tuseme tu ni wengi' lol

umeona jibu hilo?
huwezi later kusema nilidanganywa au huwezi sema alisema wawili...lol

hiyo ni half truth lol

Hahahaha lol
 
Ukisikia 'ulezi' kazi usifikiri ulezi wa uji
Kulea kazi, kwa hiyo kudanganya hakuna justifications.

Hahahahaha lol kweli Kongosho ulezi ni shughuli haswaa.
Kuna siku mtoto wa dadangu binti wa 7yrs alijifungia chumbani analia.....sasa kuja kumgundua tunamuuliza unalia nini ? Hasemi ! mamake akamwambia kama husemi nakuchapa ili ulie vizuri ....heee binti aliposikia fimbo akasema mumy nakwambia ila usinichape duuu mama moyo ukaanza kudunda kulikoni.... akawa mpole akamwambia haya nambie mtoto mzuri sitakuchapa......binti akaanza nilivoshushwa na uncle wakati natoka shule nimekutana na mtoto wa hapo jirani (anamtaja jina) eti akanambia ananipenda lol .....mama akamuuliza hivyo tu binti akajibu ndiyo......sasa tukamuuliza kwani mtu akikwambia anakupenda ni vibaya ? Akasema eeh shuleni teacher ametufundisha boy akimwambia girl anampenda ni bad manner ! Sasa yeye kwanini amenambia?
 
Last edited by a moderator:
i wonder if i am the only one
who understand exactly what u mean...

kuna watu wanaitwa pathological liers
the only time they are telling the truth is when they confess that they lied...
labda we are all natural pathological liers ..are we?

duh The Boss hapo umeaua aise
Duh the only time they are telling the truth ni pale wanapokubali kuwa wamedanganya
na ni wapi hapo watakubali kuwa wamedanganya maana mtu kama huyo hadi akubali kuwa sio honest ni balaa
 
Last edited by a moderator:
Roulette chukulia ni mwanao wa miaka mitano hivi hapa unatumia lugha gani kumweleza kuwa watoto wanatoka wapi?
Nijuzeni labda mie bado niko nyuma ndio mana sijui. Labda utamwambia huwa wanazaliwa enhe akiuliza wanazaliwaje ? ....bado tu utaendelea kumwambia ?
Binafsi nina wasichana wili, naongea nao kwa muda tofauti sababu wana miaka tofauti. sikusubiri waulize, nilianza kuongea nao mapema. Ngoja nikupe summary kidogo ya kabinti kangu kamwisho:

  1. First talk, while taking her bath (3 years): Wewe ni msichana. Bryan (mtoto wa family friend) ni mvulana. Leo tunaweza kuona hivo kirahisi sababu ya nguo mnazo vaa na vile mnasuka/nyoa nywele ila mlipo zaliwa hamkua na nguo wala nywele. Hapo ilibidi tuangalie hapa kati kati ya miguu kujua kama ni mwanamke au mwanaume. Nilifurahi sana kuona wewe ni mtoto wa kike, na mama yake Bryan alifurahi kuona ni mtoto wa kiume. Bryan hajaumbwa sawa na wewe. Tulipo maliza bafuni nikamuonesha picha ya cupid nikisema: Bryan has one of those. and we lauged at how ugly they looked. na nikamwambia kua maongezi kuhusu private parts ni yakuzungumza na watu wa karibu tu, na akanielewa.
  2. akiwa na miaka 4, ameanza kushinda shule, nilimwambia kua hakuna mtu ana ruhusa ya kugusa private parts zake zaidi ya yeye mwenyewe. By then alikua mkubwa kiasi, mimi namuosha mwili ila huko chini namwelekeza tu namna ya kujiosha. nikamwambia kua mtu yoyote akijaribu kukugusa huko lazima uresist sana sababu atakuumiza sana. Na uje unambie straight away ili asirudi tena. hadi utakapo kua mkubwa ndipo utaweza kuguswa bila kuumizwa (sikuspecify miaka, hii conversation itaendelea)
  3. Alipo fika 5 alimuona dada yangu akiwa mzito, akauliza kama ameshiba sana, dada akamwambia kua she had a baby inside. akaomba kumuona, akaambiwa bado, hadi pale mtoto atakapo toka tumboni.
  4. Aliniuliza yeye: watoto wanatokaje tumboni? Wanatoka kupitia waliko ingilia. nikamwambia atatoka kupitia uke wa dada yangu. akashangaa itakuaje mtoto mkubwa vile apitie tundu ndogo kama yake, akauliza kama inauma. nikamwambia inauma kiasi ila Mungu aliumba huko chini kunaweza kupanuka na kurudi tena normal size. tukaangalia documentary ya vinyama vinavyo zaa. alishangaa ila baadae akaona sawa tu.
  5. At 6, dada alipo zaa akauliza tena: watoto wanaingiaje tumboni? Jibu:Mungu aliumba wanawake wakiwa na njia ya kukaribisha mbegu tumboni. Unakumbuka kua wewe umeumbwa tofauti na Bryan? ni sababu wewe unahitaji njia ya kukaribisha mtoto tumboni. Utakapo olewa mume wako atakua kama bryan na atatumia willie yake kuweka mbegu tumboni mwako, na mtoto atakua mkubwa, baada ya miezi 9 atazaliwa akiwa kama Alya (mtoto wa dada yangu)
Kila conversation ilikua inafata miaka yake, na kujibu suali lake. Kati kati ya hizi conversation alikua anauliza masuali kibao kuhusiana na yale tulio ongea kabla, na nilimjibu kufatana na uelewa wake, pia kufatana na hatari za kutojua hayo mambo. sioni kama nilikosea kumwambia ukweli. Hapa hata ikitokea bahati mbaya mtu ajaribu kum-abuse, au akiwa mkubwa mtu akijaribu kumpa uzito najua nitakua nimejitahidi kum-protect na hayo mambo bado mapema. Still inaweza kutokea ila mtoto anakua akijua viungo vyake vina kazi gani, na anatakiwa kuviheshim kiasi gani. As time goes atawezaa kujifunza mengine mwenyewe ila msingi wa ukweli wa mambo upo.
Sasa watu wengine mtoto akiuliza watoto wengine wanatoka wapi wanamwamia they were from a cabbage, a flower, au they were delivered by a stork, huku mtoto tayari ana miaka sita, saba. really???
 
Binafsi nina wasichana wili, naongea nao kwa muda tofauti sababu wana miaka tofauti. sikusubiri waulize, nilianza kuongea nao mapema. Ngoja nikupe summary kidogo ya kabinti kangu kamwisho:

  1. First talk, while taking her bath (3 years): Wewe ni msichana. Bryan (mtoto wa family friend) ni mvulana. Leo tunaweza kuona hivo kirahisi sababu ya nguo mnazo vaa na vile mnasuka/nyoa nywele ila mlipo zaliwa hamkua na nguo wala nywele. Hapo ilibidi tuangalie hapa kati kati ya miguu kujua kama ni mwanamke au mwanaume. Nilifurahi sana kuona wewe ni mtoto wa kike, na mama yake Bryan alifurahi kuona ni mtoto wa kiume. Bryan hajaumbwa sawa na wewe. Tulipo maliza bafuni nikamuonesha picha ya cupid nikisema: Bryan has one of those. and we lauged at how ugly they looked. na nikamwambia kua maongezi kuhusu private parts ni yakuzungumza na watu wa karibu tu, na akanielewa.
  2. akiwa na miaka 4, ameanza kushinda shule, nilimwambia kua hakuna mtu ana ruhusa ya kugusa private parts zake zaidi ya yeye mwenyewe. By then alikua mkubwa kiasi, mimi namuosha mwili ila huko chini namwelekeza tu namna ya kujiosha. nikamwambia kua mtu yoyote akijaribu kukugusa huko lazima uresist sana sababu atakuumiza sana. Na uje unambie straight away ili asirudi tena. hadi utakapo kua mkubwa ndipo utaweza kuguswa bila kuumizwa (sikuspecify miaka, hii conversation itaendelea)
  3. Alipo fika 5 alimuona dada yangu akiwa mzito, akauliza kama ameshiba sana, dada akamwambia kua she had a baby inside. akaomba kumuona, akaambiwa bado, hadi pale mtoto atakapo toka tumboni.
  4. Aliniuliza yeye: watoto wanatokaje tumboni? Wanatoka kupitia waliko ingilia. nikamwambia atatoka kupitia uke wa dada yangu. akashangaa itakuaje mtoto mkubwa vile apitie tundu ndogo kama yake, akauliza kama inauma. nikamwambia inauma kiasi ila Mungu aliumba huko chini kunaweza kupanuka na kurudi tena normal size. tukaangalia documentary ya vinyama vinavyo zaa. alishangaa ila baadae akaona sawa tu.
  5. At 6, dada alipo zaa akauliza tena: watoto wanaingiaje tumboni? Jibu:Mungu aliumba wanawake wakiwa na njia ya kukaribisha mbegu tumboni. Unakumbuka kua wewe umeumbwa tofauti na Bryan? ni sababu wewe unahitaji njia ya kukaribisha mtoto tumboni. Utakapo olewa mume wako atakua kama bryan na atatumia willie yake kuweka mbegu tumboni mwako, na mtoto atakua mkubwa, baada ya miezi 9 atazaliwa akiwa kama Alya (mtoto wa dada yangu)
Kila conversation ilikua inafata miaka yake, na kujibu suali lake. Kati kati ya hizi conversation alikua anauliza masuali kibao kuhusiana na yale tulio ongea kabla, na nilimjibu kufatana na uelewa wake, pia kufatana na hatari za kutojua hayo mambo. sioni kama nilikosea kumwambia ukweli. Hapa hata ikitokea bahati mbaya mtu ajaribu kum-abuse, au akiwa mkubwa mtu akijaribu kumpa uzito najua nitakua nimejitahidi kum-protect na hayo mambo bado mapema. Still inaweza kutokea ila mtoto anakua akijua viungo vyake vina kazi gani, na anatakiwa kuviheshim kiasi gani. As time goes atawezaa kujifunza mengine mwenyewe ila msingi wa ukweli wa mambo upo.
Sasa watu wengine mtoto akiuliza watoto wengine wanatoka wapi wanamwamia they were from a cabbage, a flower, au they were delivered by a stork, huku mtoto tayari ana miaka sita, saba. really???

dah bora sisi tuliambiwa 'watoto wananunuliwa muhimbili'
ukileta ukorofi unaambiwa 'nitakurudisha muhimbili nikanunue mwingine' lol
dah utoto bana...lol
 
dah bora sisi tuliambiwa 'watoto wananunuliwa muhimbili'
ukileta ukorofi unaambiwa 'nitakurudisha muhimbili nikanunue mwingine' lol
dah utoto bana...lol

Mimi sikuambiwa chochote na mama yangu, ila baba alikua anapenda sana kutununulia vitabu. NIlipofika miaka kumi alitununulia kitabu kinaitwa "les femmes et leurs mysteres" (Women and their mysteries). Kilikua ni kitabu kizuri sana kinacho husu menstruation, pregnancy, STD, menopause na mengine.
At 12 alitununulia a comic "joe" about HIV. hadi leo kipo pale nyumbani. Watoto wakifika miaka 10-12, I hope wataweza kukisoma (kipo in French)
Niliposoma somo la biology secondary hayakua mageni kwangu. niliweza kuelewa nafasi ya chromosom katika hatua za kupatikana mtoto wa kike au wa kiume, ila I was not distracted by the way spermatozoids travel to the uterus, through the vagina to meet an ovule from the ovary. I knew that already.
 
Binafsi nina wasichana wili, naongea nao kwa muda tofauti sababu wana miaka tofauti. sikusubiri waulize, nilianza kuongea nao mapema. Ngoja nikupe summary kidogo ya kabinti kangu kamwisho:

  1. First talk, while taking her bath (3 years): Wewe ni msichana. Bryan (mtoto wa family friend) ni mvulana. Leo tunaweza kuona hivo kirahisi sababu ya nguo mnazo vaa na vile mnasuka/nyoa nywele ila mlipo zaliwa hamkua na nguo wala nywele. Hapo ilibidi tuangalie hapa kati kati ya miguu kujua kama ni mwanamke au mwanaume. Nilifurahi sana kuona wewe ni mtoto wa kike, na mama yake Bryan alifurahi kuona ni mtoto wa kiume. Bryan hajaumbwa sawa na wewe. Tulipo maliza bafuni nikamuonesha picha ya cupid nikisema: Bryan has one of those. and we lauged at how ugly they looked. na nikamwambia kua maongezi kuhusu private parts ni yakuzungumza na watu wa karibu tu, na akanielewa.
  2. akiwa na miaka 4, ameanza kushinda shule, nilimwambia kua hakuna mtu ana ruhusa ya kugusa private parts zake zaidi ya yeye mwenyewe. By then alikua mkubwa kiasi, mimi namuosha mwili ila huko chini namwelekeza tu namna ya kujiosha. nikamwambia kua mtu yoyote akijaribu kukugusa huko lazima uresist sana sababu atakuumiza sana. Na uje unambie straight away ili asirudi tena. hadi utakapo kua mkubwa ndipo utaweza kuguswa bila kuumizwa (sikuspecify miaka, hii conversation itaendelea)
  3. Alipo fika 5 alimuona dada yangu akiwa mzito, akauliza kama ameshiba sana, dada akamwambia kua she had a baby inside. akaomba kumuona, akaambiwa bado, hadi pale mtoto atakapo toka tumboni.
  4. Aliniuliza yeye: watoto wanatokaje tumboni? Wanatoka kupitia waliko ingilia. nikamwambia atatoka kupitia uke wa dada yangu. akashangaa itakuaje mtoto mkubwa vile apitie tundu ndogo kama yake, akauliza kama inauma. nikamwambia inauma kiasi ila Mungu aliumba huko chini kunaweza kupanuka na kurudi tena normal size. tukaangalia documentary ya vinyama vinavyo zaa. alishangaa ila baadae akaona sawa tu.
  5. At 6, dada alipo zaa akauliza tena: watoto wanaingiaje tumboni? Jibu:Mungu aliumba wanawake wakiwa na njia ya kukaribisha mbegu tumboni. Unakumbuka kua wewe umeumbwa tofauti na Bryan? ni sababu wewe unahitaji njia ya kukaribisha mtoto tumboni. Utakapo olewa mume wako atakua kama bryan na atatumia willie yake kuweka mbegu tumboni mwako, na mtoto atakua mkubwa, baada ya miezi 9 atazaliwa akiwa kama Alya (mtoto wa dada yangu)
Kila conversation ilikua inafata miaka yake, na kujibu suali lake. Kati kati ya hizi conversation alikua anauliza masuali kibao kuhusiana na yale tulio ongea kabla, na nilimjibu kufatana na uelewa wake, pia kufatana na hatari za kutojua hayo mambo. sioni kama nilikosea kumwambia ukweli. Hapa hata ikitokea bahati mbaya mtu ajaribu kum-abuse, au akiwa mkubwa mtu akijaribu kumpa uzito najua nitakua nimejitahidi kum-protect na hayo mambo bado mapema. Still inaweza kutokea ila mtoto anakua akijua viungo vyake vina kazi gani, na anatakiwa kuviheshim kiasi gani. As time goes atawezaa kujifunza mengine mwenyewe ila msingi wa ukweli wa mambo upo.
Sasa watu wengine mtoto akiuliza watoto wengine wanatoka wapi wanamwamia they were from a cabbage, a flower, au they were delivered by a stork, huku mtoto tayari ana miaka sita, saba. really???

Wooooh.....Woooooooh Roulette nimependa sana hii ! Hongera kwa kuwa mama bora ! Mungu azidi kukupa hekima na busara uwakuze vema mabinti zetu !

Hapo red umenikumbusha wakati nakua nilikuwa naambiwa watoto wananunuliwa lol ila nashukuru haikuniathiri chochote labda kwa vile ni wa enzi hizo sio za sasa !
 
Last edited by a moderator:
Mimi sikuambiwa chochote na mama yangu, ila baba alikua anapenda sana kutununulia vitabu. NIlipofika miaka kumi alitununulia kitabu kinaitwa "les femmes et leurs mysteres" (Women and their mysteries). Kilikua ni kitabu kizuri sana kinacho husu menstruation, pregnancy, STD, menopause na mengine.
At 12 alitununulia a comic "joe" about HIV. hadi leo kipo pale nyumbani. Watoto wakifika miaka 10-12, I hope wataweza kukisoma (kipo in French)
Niliposoma somo la biology secondary hayakua mageni kwangu. niliweza kuelewa nafasi ya chromosom katika hatua za kupatikana mtoto wa kike au wa kiume, ila I was not distracted by the way spermatozoids travel to the uterus, through the vagina to meet an ovule from the ovary. I knew that already.

umenikumbusha
kuna kitabu kinaitwa 'jando na unyago'
kitabu kizuri mno
niliwahi kusoma when i was 9 years old,imagine that...
na ni kitabu kwa above 18...but kilinisaidia mno
nakumbuka nilisoma ukifikia umri wa kubalehe kwa wavulana
huwa na tabia za kuiga mfano waigizaji filam lol
at that time nilikuwa namu imatate AMITABH BACHAN..lol...
kilinisaidia kujitambua lol
 
Back
Top Bottom