jamani wanwake ni kweli kuwa mizinga ni sehemu ya mapenzi kwa mwendo wa sasa lakini ebu ngojeni kwanza sio mizinga siku ya kwanza tuu....unapo mpiga mzinga mwanaume siku ya kwanza ni sawa na mwanaume anapo muomba demu K siku ya kwanza. so kama waja na mzinga siku ya kwanza basi nawe uwe tayari kutoa K