sawa lakini tuwe na subira kidogo

mzabzab

JF-Expert Member
Aug 18, 2011
34,046
61,369
jamani wanwake ni kweli kuwa mizinga ni sehemu ya mapenzi kwa mwendo wa sasa lakini ebu ngojeni kwanza sio mizinga siku ya kwanza tuu....unapo mpiga mzinga mwanaume siku ya kwanza ni sawa na mwanaume anapo muomba demu K siku ya kwanza. so kama waja na mzinga siku ya kwanza basi nawe uwe tayari kutoa K
 
nawe umeanzisha sred?
Haya, ngoja wapiga mizinga na waomba K siku ya kwanza waje.
 
he he he he, labda hakuwa na nauli.

Mie siku ya kwanza kabisa ya kideti duniani, nilihongwa buku, ila sikuomba na nikakataa kataa wee lakini akanilzimisha.

Na ilikuwa kwa ajili ya nauli ya boda boda ya baskeli.

Those days bana!

Niliona kama kanipa mirioni.

ah nilipigwa mzinga na dada mmoja on our first meeting nikamuomba K akasema eti nimemkosea adabu
 
Sioni uhusiano wowote kati ya mzinga na K!!!!!! Mimi nijuavyo ukinipa money sio kuwa K ni GUARANTEED!!!! La hasha! Mizinga niipokeavyo na kuifadi mimi ni kwa kuwa wewe UMENIKUTA NANGAAAAA!(Huwez jua maybe nangarishwaaa!) Sasa ninapokupiga mzinga ni kuwa natest ability yako ya kuendelea kuniweka TOP IN TOWN, Je unamudu? Na kama nina mtu je unamzidi kwa KISU, na hata nikikubali ntafaidi zaidi au ndo afazali ya jana?
K nikikupa coz nimejisikia sio sababu ya mizinga, naweza kula pesa na K nisikupe ukitaka kashitaki MAHAKAMANI!
For real pipos ukweli ni kuwa MIZINGA INATEGEMEA NA UKALI NA LEVEL ZA DEMU MWENYEWE! Demu kama ana kisu kirefu na mkoko wa maana lazima ufungue wallet na kutoa kwa kukadiria bila kuhesabu! Na kama ni beki tatu yake JERO la soda NA 2000 la carolite! Ukiona huwezi VYA KUCHINJA JISEVIE VYA KUNYONGA!!! BAAAAAAAAS!
 
he he he he, labda hakuwa na nauli.

Mie siku ya kwanza kabisa ya kideti duniani, nilihongwa buku, ila sikuomba na nikakataa kataa wee lakini akanilzimisha.

Na ilikuwa kwa ajili ya nauli ya boda boda ya baskeli.

Those days bana!

Niliona kama kanipa mirioni.
Aisee!!!!!
 
Haahahahaaha
hapa umenena mtu unaomba penzi siku ya kwanza alaf unapigwa mzinga siku ya kwanza alaf una shangaa!

nawe umeanzisha sred?
Haya, ngoja wapiga mizinga na waomba K siku ya kwanza waje.
 
yaani Dr. Unashangaa mirioni??

Ni dokta wa shahada ya uzamivu au wa kuchoma sindano.

Kama hujui mirioni>>milioni
mfano: 0.2mirioni=38milioni
Mimi ni daktari wa binadamu, nilikuwa sijui ndugu yangu pancrease....... Aisee!!!!! kiswahili kinakua kwa kasi sana
 
he he he he, labda hakuwa na nauli.

Mie siku ya kwanza kabisa ya kideti duniani, nilihongwa buku, ila sikuomba na nikakataa kataa wee lakini akanilzimisha.

Na ilikuwa kwa ajili ya nauli ya boda boda ya baskeli.

BORA HIYO MIE ALIOMBA BUKU KUMI YA BAJAJ...LOH NIKAONA ISIWE TABU HAPO HAPO NAMI NIKAMUOMBA K...MBONA GHAFLA MTU KABADIRIKA
 
jamani wanwake ni kweli kuwa mizinga ni sehemu ya mapenzi kwa mwendo wa sasa lakini ebu ngojeni kwanza sio mizinga siku ya kwanza tuu....unapo mpiga mzinga mwanaume siku ya kwanza ni sawa na mwanaume anapo muomba demu K siku ya kwanza. so kama waja na mzinga siku ya kwanza basi nawe uwe tayari kutoa K

Binafsi mwanamke akimpiga mzinga mwanaume siku ya kwanza, na mwanaume akaumbo K siku hiyo hiyo na akapewa, then nitashawishika kuwa huyo mwanamke anauaza aiseee, haiwezekani pesa ya siku ya kwanza imvue nguo mwanamke kama hana tabia za kikahaba.
By the way, nachukizwa sana na wadada wanaotanguliza kupiga mizinga kila wanapotongozwa! Kwa nini wasiwe wavumilivu? Kwenu si wanaume hatujui wajibu wetu? Tunakereka.
Mwandika thread naunga mkono hoja yako.
 
elfu kumi unaanzisha thread ukihonga laki?ningeshangaa usiandike "k" ya fore play tayari bado tu gari ni kisu cha kuchinjia wanawake
 
hahahahahahah LARA1 nakuoenda buuuuure bila hela...... Kichwa chako hicho loh.......

Halafu mzabzab akufukuzae hakwambii toka, sometimes wanawake wanajua akikupiga mizinga ya kutosha utakimbia mwenyewe,
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom