This is holy crap.
Hivi hapo mlikuwa mnachagua viongozi wa chuo wenye upeo wa kuongoza au viongozi wa chama? Ningekuelewa kama ungesema tumechagua kiongozi anayetufaa na mwenye uwezo wa kuongoza lakini kusema tumechagua chadema, nathubutu kusema huu ni utahira. Naenda mbali zaidi kuwa ni taahira mpaka huyu mleta maada kwani hawezi kufikiria na kuelewa kuwa walikuwa wanachagua viongozi wa nini. Hawezi kutofautisha viongozi wa wanafunzi na wa siasa. Hata kama kiongozi huyo ni mwanachama na CUF, CCM, Chadema au kinginecho. Hawa ndo graduate wetu watarajiwa kutoka tumaini Iringa. We have a lot to do and a long to go.
Mkuu you need to learn to read within and between the lines. The massage is clear... being known to be a member of CCM or affiliant to the same is a disadvantage for anyone who vie for a leadership post in our universities. What potential that leader has or will do to his fellow students is whole new topic. You need not be Cynical to the one who brought up the thread regardless of your political affiliation.This is holy crap.
Hivi hapo mlikuwa mnachagua viongozi wa chuo wenye upeo wa kuongoza au viongozi wa chama? Ningekuelewa kama ungesema tumechagua kiongozi anayetufaa na mwenye uwezo wa kuongoza lakini kusema tumechagua chadema, nathubutu kusema huu ni utahira. Naenda mbali zaidi kuwa ni taahira mpaka huyu mleta maada kwani hawezi kufikiria na kuelewa kuwa walikuwa wanachagua viongozi wa nini. Hawezi kutofautisha viongozi wa wanafunzi na wa siasa. Hata kama kiongozi huyo ni mwanachama na CUF, CCM, Chadema au kinginecho. Hawa ndo graduate wetu watarajiwa kutoka tumaini Iringa. We have a lot to do and a long to go.
Hapo kwenye red - vijana wamkomeshe huyu bwana na kwa kususia Yorgut za Asas. Pata Serengeti instead.