kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Wana Jukwaa,
Kadiri siku zinavyokwenda nakuwa dhaifu.
Nimejitahidi sana kuepuka mahusiano mpaka pale nitakapooa.
Kipindi kifupi kilichopita nimekuwa na wakati mgumu sana pale ninaposikia sauti ya mwanamke iwe kwenye simu au ana kwa ana. Kila nikisikia sauti 'jamaa yangu' amekuwa 'akiamka'. Nimefikiria kuvaa kanzu kuficha aibu lakini mimi ni mkristo na nikivaa kanzu watakuwa na mashaka nami ikiwa bado ni mkristo bado au nimesilimu.
Shida pia huwa kubwa pale mwanamke yeyote anapogusa mwili wangu.
Nifanyeje jamani kuzuia hili maana napatamani sana mbinguni na pia napenda heshima yangu iendelee kudumi katika jamii ninamoishi.
MSAADA WAKUU.
Kadiri siku zinavyokwenda nakuwa dhaifu.
Nimejitahidi sana kuepuka mahusiano mpaka pale nitakapooa.
Kipindi kifupi kilichopita nimekuwa na wakati mgumu sana pale ninaposikia sauti ya mwanamke iwe kwenye simu au ana kwa ana. Kila nikisikia sauti 'jamaa yangu' amekuwa 'akiamka'. Nimefikiria kuvaa kanzu kuficha aibu lakini mimi ni mkristo na nikivaa kanzu watakuwa na mashaka nami ikiwa bado ni mkristo bado au nimesilimu.
Shida pia huwa kubwa pale mwanamke yeyote anapogusa mwili wangu.
Nifanyeje jamani kuzuia hili maana napatamani sana mbinguni na pia napenda heshima yangu iendelee kudumi katika jamii ninamoishi.
MSAADA WAKUU.