Saut selection nje

Mbona course ya barchelor of arts with education sihioni hapa jamani..msaada plz!!
 
kuna sehemu zingine unasoma ilimradi na wewe tu uwe na degree,ila kiukweli huwezi jisifu kwa watu wa maana
 
Jiheshimu utaheshimiwa, hvyo unavyojibu kwa hasira huta2i tatzo bali unajitwisha. Mayb ua still yng den kubal kufunzwa..

no kaka kuna wa2 humu ucpost ki2 kaz yao kudis 2 afu ndo wanajiona masenior,i dislike kind ov ppo wangu,mie nimeandka k2,jamaa anadis wot that mean,angekaa kmya kama haimuhusu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom