Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
Chuo kikuu cha mtakatifu Agostino Tanzania (SAUT) cha jijini mwanza, jana kilianza kutekeleza utaratibu wake mpya kuhusu mavazi kwa wanafunzi wake, ambapo wanafunzi wa kike hawatakiwi kuvaa suluali na wale wa kiume hawatakiwi kuvaa kwa mtindo wa mlegezo (kata K). Hali hii inawaweka katika wakati mgumu wanafunzi ambao walikuwa wamezoea kuvaa sikini jinzi.
Swali la kujiuliza ni kwamba uongozi wa chuo utawezaaa....??????? maaana kuhusu mavazi kwa wasomi wa nchi hiii katika vyuo vikuu vyetu ni HOVYO HOVYO.........!!! KAZI NI KWAKO MR, MAKAMO MKUU WA CHUO...!!!!TULIJENGE JIJI LA MUNGU, siyo jiji la mwanza
Swali la kujiuliza ni kwamba uongozi wa chuo utawezaaa....??????? maaana kuhusu mavazi kwa wasomi wa nchi hiii katika vyuo vikuu vyetu ni HOVYO HOVYO.........!!! KAZI NI KWAKO MR, MAKAMO MKUU WA CHUO...!!!!TULIJENGE JIJI LA MUNGU, siyo jiji la mwanza