don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 677
Kwanza kabisa napenda kutoa shukurani za pekee kwa HESLB kuleta cheque kwa wakati unaotakiwa. Pia naipongeza serikali ya wanafunzi chini ya uongozi wa Malisa kufuatilia hili suala kwa ukaribu. Ni jambo la kushangaza chuo kimeweka dedline ya kulipa ada leo hii tar 5 ikiwa tayari wamepewa cheque lakini hawataki kuiweka kwenye a/c za wanafunzi. Zoezi la kuwasainisha 1st yr limechukua siku 4, hapo bado 2, 3, na 4th yrs!. Naomba uongozi serikali ya wanafunzi uliangalie hili kwa ukaribu isijekawa kama yale ya MATABA. Nilimwandika humu mwaka jana juu ya ufisadi wanaoufanya, baadhi ya watu wakamtetea. Imethibitika alishirikiana na baadhi ya wahasibu kula mamilioni ya hela. Watu wanacheleweshewa hela, wanakula pesa ya PENALTY.