Sauda Mwilima kimeeleweka

Hongera zake...si wote wanaopenda kuolewa wanaolewa...kuzaa ni majaliwa....la muhimu kapata mwenza...:smile-big: :busu
 

Hapa akisoma msaafu.

MSAAFU NI KITABU KITAKATIFU LAZIMA UWE NA ADABU UNAPOSOMA WALA SI KAMA VILE UNASOMA GAZETI LA UDAKU TENA UKIWA UJAJISTILI
 
hongera mwaya sauda...
kila mtu mungu kamuumbia wake....ni wewe kumtafuta tu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom