.......jamani wachina....
Alie na foto yake ya zamani airushe tafadhali...
Teh teh teh, mie nimependa shela lake amependeza japo mh! amekuwa mweupe sana !
Kweli ndoa kila mtu anaweza kupata.
Watu wanapenda presha za maisha kila la heri aliyemuoa
Wakati anaanza kutangaza star tv alikuwa mweusi kama mamaake
mweeeeeeeee,, kwa hiyo mwoaji kaoa obagi au the carolight tehe teheAsingepaka, asingeolewa.
We lazima utakuwa wife material nitangaze nia nini kama jimbo lipo wazi?
Hivi huu weupe ni wake au anajikoboa?