watatoa tu, vuta subira!
Walishatoa. Pia walikuwa wakitoa matangazo ya mabadiliko hayo ya frequence mara kwa mara kwa ambao hawajapata au hawakufuatilia kwa makini.
Kwa kifupi walichobadilisha ni SYMBOL RATE:
Ya zamani ni 13330 na mpya ni 8545.
FEC ni 2/3
Frequence ni 3643
Satellite ni ile ile ya nyuzi 64, Intel 906
Nadhani mmenipata.
Asante sana kiongozi nimefanya mabadiliko kwenye receiver kwa sasa napata ITV kama kwaida,tatizo liko chanel ten siipati,unaweza nisaidia frequence zao?,natanguliza shukrani!!!Walishatoa. Pia walikuwa wakitoa matangazo ya mabadiliko hayo ya frequence mara kwa mara kwa ambao hawajapata au hawakufuatilia kwa makini.
Kwa kifupi walichobadilisha ni SYMBOL RATE:
Ya zamani ni 13330 na mpya ni 8545.
FEC ni 2/3
Frequence ni 3643
Satellite ni ile ile ya nyuzi 64, Intel 906
Nadhani mmenipata.
Naomba mnisaidie nipate majina ya Satelite Na Frequency walizohamia ITV, Chanel Five na Capital ili niweze kuwanasa. Tafadhali.
bIG-UP Azikiwe..
I have been facing the same problem since juzi!
Tafadhali mjuao tufahamisheni..
Mara ya Kwanza nilidhani may be wako kwenye mgawo wa RICHIMONDULI...laikni kadiri muda ilivyoendelea nimegundua kuwa ni shida ya frequencies!
Naomba mnisaidie nipate majina ya Satelite Na Frequency walizohamia ITV, Chanel Five na Capital ili niweze kuwanasa. Tafadhali.
kama nin kumbukumbu vizuri nilisikiwa wakitangaza
intelsat 906 64E
Frequency 3643.78.. hata ukiweka 3644 utaipata
FEC 2/3
Symborate 8545
kama nin kumbukumbu vizuri nilisikiwa wakitangaza
intelsat 906 64E
Frequency 3643.78.. hata ukiweka 3644 utaipata
FEC 2/3
Symborate 8545
Naomba mnisaidie nipate majina ya Satelite Na Frequency walizohamia ITV, Chanel Five na Capital ili niweze kuwanasa. Tafadhali.
Re: Frequency mpya za ITV
Tujuzane Frequency mpya za ITV nasikia jamaa wamehama Satelite
Tujuzane Frequency mpya za ITV nasikia jamaa wamehama Satelite
Re: Sattelite na Frequency mpya za ITV
Naomba mnisaidie nipate majina ya Satelite Na Frequency walizohamia ITV, Chanel Five na Capital ili niweze kuwanasa. Tafadhali.
Nadhani na wewe unatakiwa kupachika hizo frequency kama kawaida, nasikitika sna jana sikuona Mizengwe.samahani kama swali langu la kitoto! does this mean sisi tulia nje ya afrika tunaweza kuona? if so how? naomba msaada
samahani kama swali langu la kitoto! does this mean sisi tulia nje ya afrika tunaweza kuona? if so how? naomba msaada
Wakuu ina maana ni kwa Channel zote the same frequencies au Capital na Channel ten wanazo za kwao? Naomba majibu ili nami nisikose malumbano yanaendelea maana kila kukicha ni bifuz tu!