Iyokopokomayoko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,785
- 441
HABARI ma-great thinkers wote,
Mimi natumia modem ya sasatel kwa zaidi ya mwaka sasa, bali kuanzia mwezi novemba mwaka jana nilianza kushuhudia speed ya internet yangu ikiwa si stable kama awali, kwa kifupi sasatel ya sasa si ile ya zamani sijui kwa watumiaji wengine.
lakini la mhimu ni UPLOAD SPEED yake, kwa sasa file lolote lenye kuanzia 1mb ku-upload ni shida sana kwa kifupi ku-upload siyo kazi nawezafanya tena, bali sina tatizo sana downloading speed. mara ya mwisho nimetest upload speed ilikuwa 0.24 kbps. Nimemuuliza rafiki yangu mmoja ameeniambia kwa sehemu kubwa ku-upload ni tatizo linalohusu zaidi modem na siyo pc.
Naomba kuuliza wataalamu na wengine kwa uzoefu wao, hasa mnaotumia sasatel, na nyinyi mnaexperience the same problem kama ilivyo kwangu?, na kwa wale mnaotumia airtel au voda upload speed zenu ni ngapi?.
Natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayepoteza muda wake kunifafanulia jambo hili.
nawasilisha
Mimi natumia modem ya sasatel kwa zaidi ya mwaka sasa, bali kuanzia mwezi novemba mwaka jana nilianza kushuhudia speed ya internet yangu ikiwa si stable kama awali, kwa kifupi sasatel ya sasa si ile ya zamani sijui kwa watumiaji wengine.
lakini la mhimu ni UPLOAD SPEED yake, kwa sasa file lolote lenye kuanzia 1mb ku-upload ni shida sana kwa kifupi ku-upload siyo kazi nawezafanya tena, bali sina tatizo sana downloading speed. mara ya mwisho nimetest upload speed ilikuwa 0.24 kbps. Nimemuuliza rafiki yangu mmoja ameeniambia kwa sehemu kubwa ku-upload ni tatizo linalohusu zaidi modem na siyo pc.
Naomba kuuliza wataalamu na wengine kwa uzoefu wao, hasa mnaotumia sasatel, na nyinyi mnaexperience the same problem kama ilivyo kwangu?, na kwa wale mnaotumia airtel au voda upload speed zenu ni ngapi?.
Natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayepoteza muda wake kunifafanulia jambo hili.
nawasilisha