Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
@Mods, uzi mtauweka kwene jukwaa muonalo linafit zaidi, mkipenda
Baada ya kuchoka na spidi za 'unlimited'
za 0.00 kps za Voda niliamuaga kuhamishia majeshi
huku Sasatel, kwa sababu mie ni mtu wa kutotaka
attachment huwa na nachukuaga package za wiki
ili nikiboreka iwe rahisi kusepa na kuacha kulipia.
Mwanzoni ilikuwa inaniwezesha kusurf kwa spidi
acceptable kwa kuzingatia technology yenyewe ya
CDMA. Sasa hivi ina kama siku 3 na mtandao unakata
kama hauna akili nzuri. Sasa kuwa mteja imekuwa kero na
pesa yangu yaeza ku-expire bila kumalizika kwa package
yangu ya wiki. Sasa nashindwa kuelewa hawa TCRA
wanafanya kazi gani? Hivi hii nji kuna watu wanafanya
kazi zao kweli bila kushikiwa bakora?
Speaking of these dinasaurs TCRA, Majuzikati zinakuja
sms kibao kwene line yangu ya tIGO eti sijajisajili, these
fools ni kwamba siku ninanunua line nililipa cash na kujisajili
papo hapo na karatasi ninayo, why mteja nibughudhiwe na these
incompetent fools kwa uzembe wao? where is the so called
'regulation' by regulatory body? hiyo kasma ya TCRA
kwanini wasilipwe walimu au madaktari ambao wanatusaidia
huku uswazi?
Zis kantri bana, I'm speechless.
Baada ya kuchoka na spidi za 'unlimited'
za 0.00 kps za Voda niliamuaga kuhamishia majeshi
huku Sasatel, kwa sababu mie ni mtu wa kutotaka
attachment huwa na nachukuaga package za wiki
ili nikiboreka iwe rahisi kusepa na kuacha kulipia.
Mwanzoni ilikuwa inaniwezesha kusurf kwa spidi
acceptable kwa kuzingatia technology yenyewe ya
CDMA. Sasa hivi ina kama siku 3 na mtandao unakata
kama hauna akili nzuri. Sasa kuwa mteja imekuwa kero na
pesa yangu yaeza ku-expire bila kumalizika kwa package
yangu ya wiki. Sasa nashindwa kuelewa hawa TCRA
wanafanya kazi gani? Hivi hii nji kuna watu wanafanya
kazi zao kweli bila kushikiwa bakora?
Speaking of these dinasaurs TCRA, Majuzikati zinakuja
sms kibao kwene line yangu ya tIGO eti sijajisajili, these
fools ni kwamba siku ninanunua line nililipa cash na kujisajili
papo hapo na karatasi ninayo, why mteja nibughudhiwe na these
incompetent fools kwa uzembe wao? where is the so called
'regulation' by regulatory body? hiyo kasma ya TCRA
kwanini wasilipwe walimu au madaktari ambao wanatusaidia
huku uswazi?
Zis kantri bana, I'm speechless.