- kupenda kuoa mwanamke mrembo kuliko wote ambaye hayupo
- ukosefu wa fedha unaoweza kusababishwa na ukosefu wa ajira ya uhakika
- kujiringanisha na wanaume wengine ambao wana mafanikio ya juu sana na baadae mwanaume huyo kuona hajafikia bado mafanikio anayoyataka ili aweze kuoa.
- ukosefu mkubwa sana wa nguvu za kiume yaani uhanithi
- ubinafsi wa baadhi ya wanaume ambao huona kuoa ni sawa na kupoteza fedha tu. Kwa kuwa yeye mwanaume akioa itabidi amhudumie mke.
- kutokujiamini kwa baadhi ya wanaume ambao huona kuoa ni jambo gumu sana na kwao wao halitawezekana.
- baadhi ya wanaume huogopa wanawake sana kiasi cha kuogopa kuwatongoza ambako husababishwa na kuogopa kukataliwa !!!