sasa Wakenya kumiminika Tanzania kama mvua

waje tu

we are better placed now to compete and be exposed, tumeshaibiwa sana na viongozi wetu kiasi kwamba wakija vibaya tutawaibia na kuwaiba wao pia
 
Mbona taarifa haieleweki? Makaratasi yaliyosainiwa yanahusu nini? Benard Membe ametoa kauli gani huko Nairobi? Hebu funguka basi mkuu.
 
Dogo.. Ni ukweli usiofichika kwamba wakenya wanachapa kazi kuliko wabongo, nimeshuhudia kwa macho yangu dogo moja wa kenya anafanya kazi balaa, tatizo jingine kwa watz ni kama wewe, ubishi mwingi output sifuri, usharobaro ndiyo umefika, sasa sijui ni mfumo wa ujamaa ulitulemaza nashindwa kupata jibu, endelea kubishana, unfortunately I don't have much time to urge with you..
Kumbe ulimwona mmoja ndio ukachukulia kwamba Wakenya ni wachapa kazi kuliko Watanzania.Ahsante
 
Mimi nimeajiri na sifanyi kazi ya kutumikishwa.Na ukweli unaosema ni upi kwamba Watanzania ni wavivu?Je umefanya utafiti wowote au una chuki binafsi tu na Watanznia.Ongea vitu ambavyo umevifanyia utafiti na una data za uhakika na si kuongea kama mbumbumbu au kwa vile unajua kutukana.


Hii nina mashaka nayo kuwa umeajiri watu. Kuajiri watu si hoja kwani kila mtu ana huo uwezo wa kuuza juisi kariakoo na akaajiri ndugu toka vijijini wamfanyie hivyo. Nina mashaka na wewe kuajiri watu kutokana na ufinyu wa mawazo yako, na sijuwi tu hiyo biashara unaiendeshaje. Mfano ulio hai, jiangalie (jipime) wewe mwenyewe unajitumaje katika hiyo kazi yako. Je, unafanya yale uliyoyakusudia kuyafanya wakati unafikiria kuanzisha hiyo biashara? Usikute muda wote unazunguka tu hapo kariakoo na jamaa ulioajiri kukuuzia juisi wanakutafuta uwape hela ya kununua barafu wewe huko mitaani kubishana vitu usivyo na uhakika navyo. Barafu imekwisha, juisi hakuna, na wateja wanakukimbia then unalalamika biashara imekuwa ngumu kutokana na ujinga wako.
 
Hii nina mashaka nayo kuwa umeajiri watu. Kuajiri watu si hoja kwani kila mtu ana huo uwezo wa kuuza juisi kariakoo na akaajiri ndugu toka vijijini wamfanyie hivyo. Nina mashaka na wewe kuajiri watu kutokana na ufinyu wa mawazo yako, na sijuwi tu hiyo biashara unaiendeshaje. Mfano ulio hai, jiangalie (jipime) wewe mwenyewe unajitumaje katika hiyo kazi yako. Je, unafanya yale uliyoyakusudia kuyafanya wakati unafikiria kuanzisha hiyo biashara? Usikute muda wote unazunguka tu hapo kariakoo na jamaa ulioajiri kukuuzia juisi wanakutafuta uwape hela ya kununua barafu wewe huko mitaani kubishana vitu usivyo na uhakika navyo. Barafu imekwisha, juisi hakuna, na wateja wanakukimbia then unalalamika biashara imekuwa ngumu kutokana na ujinga wako.
Wivu unakusumbua kwa sababu unajua tu kuropoka.
 
Watanzania ni waoga mno ku-take Risk! mind you,the higher the Risk the higher the Return!

Very true, and when you dare na ukafanikiwa utaitwa muuza unga ama unakula na wakubwa. Yaani tuko very simple minded for the majority of us na waoga wa challenges (to be challenged). Mtu akifanya biashara na ukiwa na moyo wa kumsaidia kimawazo atakasirika na kukusema kwa watu eti unajifanya unajuwa, much like KENET mwana JF mwenzetu, yaani ni mbishi asiye na mfano.
 
Last edited by a moderator:
Very true, and when you dare na ukafanikiwa utaitwa muuza unga ama unakula na wakubwa. Yaani tuko very simple minded for the majority of us na waoga wa challenges (to be challenged). Mtu akifanya biashara na ukiwa na moyo wa kumsaidia kimawazo atakasirika na kukusema kwa watu eti unajifanya unajuwa, much like KENET mwana JF mwenzetu, yaani ni mbishi asiye na mfano.
Sawa mkuu nimekupata.Lakini anaposema Watanzania ni waoga kutake risk ana maanisha ni watanzania wote au ni kwa wale wachache anaowafahamu.Nenda duniani kote hakuna sehemu ambayo utamkosa Mtanzania.Hapo Kenya kwenye jiji la Nairobi wafanyabiashara wengi maarufu ni Watanzania na mifano hai ninayo,sasa bisha maana naona mna chuki binafsi na Watanzania.
 
Acha uongo eti watanzania wapo duniani kote........ Wanafanya shughuli gani au ndio wanatumikishwa? Wakenya wapo dunia nzima na wanafanyakazi official as expart. Achana na wazamiaji wa ki tz wanaoishi kwa kujificha na wengi wao wanafanyakazi za kijinga
 
Back
Top Bottom