sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,017
- 619
[h=6]Bunge la 10,Mkutano wa 5,Kikao cha 6
Mpaka bunge linahairishwa mi sijaelewa nini kinaendelea Bungeni
Hivi ni kweli hawa wabunge wamejipa japo muda kidogo wa kukisoma walichokiongea?
Maana kila mbunge anayeinuka muda mwingi anautumia kurusha vijembe kwa CHADEMA na Jukwaa la Katiba,na muda mchache anaoutumia kuchangia muswada,anaonekana wazi hakujiandaa kuongea anachoongea,anajikanyagakanyaga tu,hata vitu vya ku-refer tu anababaika kutafuta reference,ilhali makabrasha anayo mezani
Na leo naona makofi sio kivile ishara tosha kuwa wao kwa wao wanaona wachangiaji 'wanafuka',muda ambao mchangiaji anapigiwa makofi ni pale anaporusha vijembe kwa CHADEMA.
Au huu ndo mjadala wenyewe wa muswada wa sheria ya marekebisho ya katiba?
Mimi ni kilaza lakini pamoja na ukilaza wangu katika waliochangia leo hamna anayestahili hata kuwa afisa mtendaji wa kata yangu.[/h]
Mpaka bunge linahairishwa mi sijaelewa nini kinaendelea Bungeni
Hivi ni kweli hawa wabunge wamejipa japo muda kidogo wa kukisoma walichokiongea?
Maana kila mbunge anayeinuka muda mwingi anautumia kurusha vijembe kwa CHADEMA na Jukwaa la Katiba,na muda mchache anaoutumia kuchangia muswada,anaonekana wazi hakujiandaa kuongea anachoongea,anajikanyagakanyaga tu,hata vitu vya ku-refer tu anababaika kutafuta reference,ilhali makabrasha anayo mezani
Na leo naona makofi sio kivile ishara tosha kuwa wao kwa wao wanaona wachangiaji 'wanafuka',muda ambao mchangiaji anapigiwa makofi ni pale anaporusha vijembe kwa CHADEMA.
Au huu ndo mjadala wenyewe wa muswada wa sheria ya marekebisho ya katiba?
Mimi ni kilaza lakini pamoja na ukilaza wangu katika waliochangia leo hamna anayestahili hata kuwa afisa mtendaji wa kata yangu.[/h]