Mogambi
JF-Expert Member
- May 25, 2012
- 209
- 351
Vyenye nilikuwa napita, ghafula nikaona link ya jamii forums na iyo ilikuwa way back zenye tunasema ni miaka kadhaa, na nilipata kama nahitaji kujoin coz bila shaka ziko mambo za kujifunza. So vile stima ilikata kwa simu nilijua there might b time,guess this is the right time! Chukulia poa.