Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Unataka habari za magamba unaulizia mwananchi ama tz daima?what happened to uhuru na mzalendo?Mkuu unataka uone vitu vya ajabu ajabu kama vile samaki kuogolea juu ya mti?Ukitaka samaki unajuwa pa kwenda na ndege vilevile.
Mpaka usome mwananchi na Tanzania daima ndo yatasuza roho yako, acha upumbavu mbona sisi tulishaacha kusoma Uhuru, Mzalendo, Habari leo na Jambo leo hata nikikuta kipande cha magazeti hayo kimefungiwa kitumbua siri hicho kitumbua.
2acha kuwa wanazi kama ni kweli mwananch hawajaandika kuhusu ccm basi wamekosea lazima wananch wapate update kuhusiana na progres zao,lile ni gazet linaloaminika na kununuliwa na watz wengi.
Stop being fool hata ccm wana magazet yao kama uhuru,mzalendo na majira sasa ni kwanini cdm wakiwa na magazeti yao inakuwa nongwa?unaweza kukumbuka uhuru walitoa stori gani siku ya tarehe 5 aprili npale ccm walipopoteza jimbo la arumeru?