Someni uhuru na kusikiliza redio uhuru,
Mwananchi ni gazeti la wananchi sio nyinyiyenu!
enhee tene umenigusa mkuu maana nimeona habari moja kwenye gazeti la jambo leo limenikera kweli, eti ccm yafunika dara nzima hawa mi naona wamelala ilifunika wapi? Mbona mkutano ulifanana na ule wa udp wakati wakifungua kampeni za urais 2010, hakukuwa na jipya na sikuona ni kwanini chama tawala kuitisha mkutano kama ule baada ya chadema kuitisha wa kwao, ina maana hilo wazo lilikuwepo au liliibuka? Wanatakiwa sasa hivi wawe bize kutekeleza ahadi zao za 2010, wwao ndo wenye serikali hakuna haja ya kurudia ahadi! This is foolishness!
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Matusi ya nini sasa simjibu tu kwa hoja.Kama ndo ulivyo utakuwa mtumwa wa siasa na zitakuua wewe.
Hebu fafanua. Wameshi
uhuru na daima na daima yanafahamika lakini kwa mwananchi haipendezi ? huku kuna mtu anaitwa neville meena tayari ana kadi ya jamaa wa magamba
Hebu fafanua. Wameshi
uhuru na daima na daima yanafahamika lakini kwa mwananchi haipendezi ? huku kuna mtu anaitwa neville meena tayari ana kadi ya jamaa wa magamba
sorry ana kadi ya jamaa wa magwanda
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
atuHakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano
wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....