Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,319
- 17,473
Watu wananivamia tu, ndo washauri wa Wizara hii au nao wananidaka bila kuviangalia viyoyozi vya "Sayansi na Teknolojia"?
Invisible tumekuelewa sana ...nimecheka tuu pale niliposoma comment za watu wasiojua hata huyo wanae mjibu. Halafu patamu ni pale ulipo gonga senksi.