"Tumelazimika kuwatawanya kwa kutumia mabomu ya machozi kwa sababu walikuwa wakitoka mahakamani kwa mfumo wa maandamano huku wakisema, "Peoples Power."
"Kama wasingetumia mfumo huo kama walivyoingia sisi tusingepiga mabomu, lakini hatukutumia risasi za moto huo ni uvumi tu,"alisisitiza Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Akili Mpwapwa.
My take: Ina maana kama wangetoka mmoja mmoja kama walivyoingia si ingechukua siku nzima kutoka, basi makanisani na misikitini tuwe tunatoka mmoja mmoja kuepuka maandamano, busara ni kitu muhimu sana.
"Kama wasingetumia mfumo huo kama walivyoingia sisi tusingepiga mabomu, lakini hatukutumia risasi za moto huo ni uvumi tu,"alisisitiza Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Akili Mpwapwa.
My take: Ina maana kama wangetoka mmoja mmoja kama walivyoingia si ingechukua siku nzima kutoka, basi makanisani na misikitini tuwe tunatoka mmoja mmoja kuepuka maandamano, busara ni kitu muhimu sana.