Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
Natumia jina la juma hussein,karibuni saaaaaaaaaana.
Inahuuuu?
Inahuuuu?
Huyu lazima atakuwa mnyonya damu swahiba kaa nae mbali atatuitaje fb, kwani ameshindwa nini kuchat hapa?khaa! Ndio nini jamani?
Hahaha!mabwaku..
Dah! Mbona unamuumbua kijana wa watu?? Nimemuonea huruma sana...Inahuuuu?
Ngastuka kaka huyu anatuvuta ngasa, hapati mtu hapa....Dah! Mbona unamuumbua kijana wa watu?? Nimemuonea huruma sana...
Hahaha!
.. Hujambo ndetichia..
Dah! Mbona unamuumbua kijana wa watu?? Nimemuonea huruma sana...
Inahuuuu?
Marahaba mtoto mzuri,... Usisahau kulala mchana eeh?...sijambo shkamoo SL
Mambo yako vizuri shem langu, kakako bukheri , yupo kanisani mida hii...shemej ndio nn?...leo mambo yamekaaje?naona hukopeshi...habari yako?kaka mzima?
Marahaba mtoto mzuri,... Usisahau kulala mchana eeh?...
Hiyo ni bad manner ndetichia, mwalimu hajakuambia?tatizo na socialize mwi jeiefu kila nikitaka kulala naishia kuangia new posts..
mabwaku..
Mambo yako vizuri shem langu, kakako bukheri , yupo kanisani mida hii...
Mbona sijakuona kwenye party ya Judgement kumvalisha husninyo pete ya uchumba?
Hahaha! Mwalimu atakuwa alicheka sana..Duh nakumbuka niliambiwaga niandike kinyume cha kumbwa nikaandika bwaku...lol
Zamaniiii
Duh nakumbuka niliambiwaga niandike kinyume cha kumbwa nikaandika bwaku...lol
Zamaniiii