sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahahaha! Sasa anakutaka anakujua??..au vile ameona waitwa polisi akajua uko kitengo cha usalama barabarani akaona atest zali... lol, afu hapa anajishaua eti mwamtongoza, jf raha kweli jamani!Nijipange nini tena. Si uliniambia unanitaka nikakukataa. Sina jibu lingine. Tafuta mwingine, kwangu no packing