Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Jamani sina maneno mengi kuhusu suala hili manake hata wewe msomaji inawezekana umeshuhudia wanawake wa wahindi wanavyovaa magauni ya na kuacha tumbo na vitovu nje nje. Kama huo ndiyo utamaduni wao ina maana kuwa wanaume wao hawahamisiki wanapoona sehemu hizo za mwili. Lakini binti wa kimatumbi akiacha tumbo na kitovu chake nje, weeeeeee, miluzi si miluzi na wengine kama akina sisi inafika wakati suruali hazitoshi!