CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #21
Welokamu baki charminglady
senkyuu saana mamito!
Last edited by a moderator:
Welokamu baki charminglady
Ruhazwe JR ndo kwanza unanitoa tongotongo kwa wakati ndio sasa kapigwa ban kwa sababu ipi? BTW nimesikitika kwan ntamiss usumbufu wake. nliamua kumsumbua ili jamvi linoge na wala sikuwa nachukia make km ningekuwa nachukizwa c
habari zenu kwa mpigo! kwanza naombeni radhi. niliaga kuwa sitaonekana kwa kukwazika na kutajwa tajwa kitu ambacho si kweli. ukweli ni kwamba wiki nzima tulikuwa na auditors ofisi na tulikuwa vimeo vya kutosha. so niliona nipumzike kwa muda ili nipate nafas ya ku-clear vimeo.kimsing najua wakati ndio sasa alikuwa ana-joke ila nikataka kuona ni jins gan wana-jamvi wananipenda. nawashukuru sana kwa upendo wenu mlouonesha nimeamin tupo pamoja ila kuna walionibeza kuwa nafanya utoto nimewasamehe!
Don worry ma client they will understand!
Your now under protection do not sign any contract without ma permission!
Those who will not forgive you have right to Appeal!
Karibu ma dia. Happy to see you again. Realy tulisikitishwa.
heeeee switilo bora ulivyorudi maana hadi raha ya JF ilianza kupungua!!!!!! welcom back!!!!! and eid mubarak
kunathread inaelezea taarifa hiyo ya ban,ninakamchina hapa nashindwa kukupa link,ila imeandikwa "taarifa kwa wana chitchat wote"kama sijakosea ni kitu kama hicho,i wish angekuwepo leo angefurahije?
Kumbe ndo wewe,huh!?!..ha ha..pole na kazi ngumu ya kufoji invoices
Naona kama ndoto kumbe ndivyo ulivyo. Pole kwa likizo hongera kwa kuimaliza.
Naona kama ndoto kumbe ndivyo ulivyo. Pole kwa likizo hongera kwa kuimaliza.
Karibu tena jukwaani C/lady!
Unafanya mchezo na Jf hapa huwezi toka kama si kubadili ID. karibu sana.
Nadhani nipo kwenye Igino listi yako. Lakini sijawahi kuelewa reason.