Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Je, UVCCM huwa ni chombo cha Muungano pia au Bara tu maana wala hatuwasikii Wa-Tanzania Visiwani kwenye nafasi za juu miaka yote mle??
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.
Mambo ya zamu yanatoka wapi kwenye demokrasia ya vyama vingi. Tena Zanzibar imefanya vizuri kutangaza wazi kuwa ni nchi na dola yenye mipaka inayojulikana na kutambuliwa. Swala kubwa ni kupunguza mambo ya Mwungano kuwa kama yalivyokubaliwa mwanzoni bila nyongeza. Hapo swala la zamu halitakuwepo. Sijui kama kuna mwana CDM katika kamati kuu yao toka ZNZ ambaye ataweza kusimama kama mgombea. CCM labda, hivyo maombi haya yaelekezwe huko. Halaf mchakachue matokeo.
Mlishamtoa Alhaj Hassan Mwinyi, msubiri mpaka mikoa yote iliyobaki ya bara itoe rais ndio na nanyi mtafikiriwa