Muungano hakuutaka nyerere bali wazanzibari wenyewe, Tanganyika inapakana na nchi nyiiingi zana kwa nini iungane na zenj tu si wametaka wenyewe, ina ardhi hata ndege atapata ikiwa itaamua klugawiwa-
DUH hawa wengine hawajui hata maana ya Tanzania ( TAN ZAN ia)Hao ni sawa na ngamia wa jangwani aliyeomba aiingize kichwa tu kwenye hema ili ajinusuru na mvua ,baadaye mwenye hema akajashutukia keshatolewa nje,hapa bara wamejaa na vidaladala vyao lakini thubutu nawewe upeleke chai maharage huko kwao utafanyiwa mtima nyongo mpaka utakoma
mkuu.Niwazavyo huu utatu hauna maana sana na sioni manufaa yake kwa sasa labda hapo kale...maana kale ilidhaniwa ardhi ya visiwa vya Z'bar ingeweza kutumika kuishambulia Tanganyika kirahisi! ila kwa maendeleo ya kiteknolojia ya sasa unaweza kushambuliwa kutoka kona yoyote mathalan mshambuliaji anajua shabaha yake vyema! kwa kutumia haki yangu ya msingi kikatiba ibara ya 18 B ,nasema huu utatu ni batili!
Allo! Ivyo hujuwi bado kuwa Tanzania hatuna katiba na kama ipo basi haifai kabisa. Sisi tunataka Katiba mpya wewe unaifyagilia iliyopo?Tupe kifungu cha katiba
Hebu Tamka Zanzibar uone unavyosisimka!Wilaya ya Nyamagana ni kubwa(kieneo+wakazi) kuliko Zanzibar,inaongozwa na Mbunge Wenje.Zanzibar for what???? ondoeni urojorojo!!!
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.
hivi karatu washawahi kutoa raisi? nafikiri ni zamu yao sasa tuwaachie lolBaada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.
Niwazavyo huu utatu hauna maana sana na sioni manufaa yake kwa sasa labda hapo kale...maana kale ilidhaniwa ardhi ya visiwa vya Z'bar ingeweza kutumika kuishambulia Tanganyika kirahisi! ila kwa maendeleo ya kiteknolojia ya sasa unaweza kushambuliwa kutoka kona yoyote mathalan mshambuliaji anajua shabaha yake vyema! kwa kutumia haki yangu ya msingi kikatiba ibara ya 18 B ,nasema huu utatu ni batili!
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.
Hatuendi hivyo! Mkowa wa Pwani umeshatowa mara mbili, Kikwete na Ali Hassan Mwinyi. Mwinyi hakuwa Mzanzibari bali alikuwa muhamiaji tu.Mlishamtoa Alhaj Hassan Mwinyi, msubiri mpaka mikoa yote iliyobaki ya bara itoe rais ndio na nanyi mtafikiriwa
Did you mean CCM?......... Maana siamini kama kwenye uchaguzi wa kidemokrasia ndani na nje ya vyama unaweza kukipangia kila chama kinachoshiriki uchaguzi kutoa nafasi maalum ya upendeleo kwa watu wa sehemu moja ya Muungano. Nafikiri mtazamo kama huo hauna maana tena siku hizi kwa kuwa Urais ni majukumu na si zawadi useme kama leo kapata Mke Mkubwa basi kesho apewe Mke mdogo.
Ukiangalia vizuri utagundua kwamba fikra za kubalance mgawanyo wa viongozi kwa vigezo kama pande za muungano, kabila, dini, mkoa nk vinatuumiza bure kwa kuwa viongozi wanatakiwa kuwa wachapakazi, waadilifu na wapenzi wa dhati wa Tanzania kama taifa na si vinginevyo.
Ikitokea tukapata viongozi hata mia moja mfululizo kutoka eneo dogo kama Mafia au Ukerewe ni sawa tu kama watu hao wataweza kutusaidia kutatua matatizo makubwa tuliyonayo kama; ufinyu wa maarifa ya kuleta maendeleo kwa taifa(mingoni mwa viongozi wa kitaifa), ufisadi, umeme, barabara, maji, umasikini, elimu duni, huduma za afya nk itakuwa faraja kubwa sana kwa wapenda maendeleo kuliko anakotokea rais.
Watu wenye mtazamo wa kudhania urais ni swala la zamu ndo wamesababisha debate kubwa sana kuhusu utawala hapa nchini. Wakati mmoja analalamikia utawala mbovu, mwingine anachowaza ni kwa nini wanamsumbua rais wakati hii ni zamu yetu. Zamu yenu kufanya nini? Maendeleo na hali ya nchi ni swala nyeti sana kuliko nani ana madaraka leo na nani hana.
Utaratibu wa Tanganyika na Zanzibar kuwa na zamu ya kuwa na Rais wa Muungano uliwezekana wakati CHAMA KIMOJA KIKISHIKA HATAMU. Baada ya kuwa na mfumo wa vyama vingi vya siasa haiwezekani kuwa na zamu tena.
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.[/QUO
AMA NYIYI KWELI MWAPENDA KUJIFURAHISHA? HAKUNA MZANZIBAR MZANZIBAR MZANZIBAR HATA MOJA MWENYE HAMU YAKUWA RAIS WA TANGANYIKA TAGETI YA WAZANZIBAR NIKUONDOKANA NA HILI JINDAMIZI LA MUUNGANO FAKE KAMA NYIYI WENYEWE, NILINI HASA KTK KUMBUKUMBU ZENU MZANZIBAR KUWA RAISI WA TANGANYIKA?.
JEE ALI HASSAN NI MZANZIBAR? NYIYI DAINI KATIBA MPYA SISI TUKO KTK KUVUNJA MUUNGANO,CHAKUSHANGAZA SISI TUNA RAIS WETU NA BENDERA NA WIMBO WA TAIFA NA MENGINE YAKUWA NCHI NA TUNATAKA KUVUNJA MUUNGANO, NYIYI HAMUNA NCHI NA MUNATAKA KATIBA MPYA? KWA NINI MUSIDAI TANGANYIKA YENU KWANZA MULIO IPIGANIA UHURU WA 9DECEMBER1961 MUDAI KATIBA YA TANZANIA? NYIYI WAZIMA VICHWANI LAKINI? SISI HATUPASRADII MUUNGANO TUNATAKA UFEE WAKATI WWTE ITAKUWA URAISI?. THINK TWICE.
Slamini naye alikuwa mtu Safi!!!!!!!!!!!! na mwenzie yuele aliyekuwa mshauri wake wa mambo ya biashara hao ndio nadhani wamefundisha wabara kuwa mafisadiHizo ni chuki zako tu...waznz ni watu safii tena sio mafisadi