Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Kwanza nyie si mmesema hamtaki Muungano?
kweli hatuutaki na kwa mara ya mwanzo tutafanya maandamano kuhusu muungano trh 01/04/2011. Then tutaangalia matokeo yake
Kwanza nyie si mmesema hamtaki Muungano?
haya maneno unatakiwa uwataarifu wazenj wenzako-sisi hata kesho hatuna shida-bakini na mafuta yenu na uchafu mwingine-kuna nchi zimeemdelea bila kuwa na mafuta sembuse nyie mtutishe na mafuta yenuMsipokubali tutauvunja muungano
nilijaribu kuipitia katiba yetu na siajaona kifungu kisemacho urais ni wa kupokezana bara na zanzibar.tafadhalini ndugu zangu msitake leta chokochoko.zilizopo zatosha
Salim si ni ninyi ndiyo mlimkataa. Kwani yeye siyo Mzanzibari??
Ni zamu ya Lowassa kuwa rais hamtaki damu itamwagika
watu wasio na machogo hawana uwezo wa kukumbuka.
Mkuu.Haiwezekani kwani 99% ya wazenji ni ustaadhi al-jihad, hatutaki hawa watu kuongoza nchi yetu TENA wawe wametoka visiwani au bara.
maana yake nini?
Hiyo ni sera ya CCM, wao watoe mgombe visiwani hala asimame mbabe mja bara kupitia CDM hivi. Hapo mbona patamu.:A S clock:
Tunajua hujuma ambayo wabara wanatufanyia sisi watu wa Zanzibar hasa kwa kuhakikisha kila mara makamu wa rais wa muungano anatoka Pemba na pia tunajua jinsi mlivyomnyima rais wetu wa znz asime makamu wa pili wa rais wa muungano ila ukweli unabaki pale pale 2015 ni zamu ya znz najua manasara hawapendi hilo
Mkuu.Nadhani Rais wa mwisho wa muungano toka Zanzibar ni Mzee Mwinyi. Hamna tena biashara hiyo wakati ninyi mnajiita nchi na papo hapo mnatamani kuitawala Tanganyika kama koloni la Zanzibar? Yaani muwe na Rais mtendaji Mzanzibari na mwingine huku Tanganyika? Yaani watanganyika ni mazezeta kiasi hicho?