Sasa ni zamu ya udsm,,

WJN

Member
Nov 6, 2010
54
0
Takribani wiki kadhaa hivi tumesikia migomo ikifanyika ktk vyuo vikuu kadhaa hapa nchini, kwa majina baadhi UDOM,MKWAWA,DUCE,TUMAIN-IRINGA & DAR, na bila kusahau huko ARUSHA na MOSHI. Kwa kipindi hicho chote UDSM walikuwa wametulia lakini si kwa kuwa wao hawana shida la HASHA bali ukiona kobe kainama ujue.........., Sasa mgomo unakwenda kuanzishwa na wanazuoni hao wa UDSM naona ndio unaokwenda kuhitimisha rasharasha zote za migomo iliyoanzishwa katika vyuo kwa majina hapo juu!
 
yani umalize shahada udsm bila mgomo.......thubutuuuuu,hakuna hata mhadhir mmoja ambaye hakukumbana na kadhia hyo!ndo umeanza huo hautoisha
 
mapinduzi ya fikra huru?

We must try and maintain this heartbeat in the body of the motherland, and keep alive the remnants of hope in our veins, not only in universities or opposition rallies, but also on our daily lives!
 
nikweli wengi waliohitimu UDSM wameonja nini maana ya MGOMO! lakini swala la kujiuliza nini sababu ya migomo hiyo, wengi wasio penda ukweli wanahusisha migomo ya wanafunzi na mambo mengine kama vile siasa. jambo la kukumbukwa baada ya migomo madai yao hutekelezwa. imefika kipindi cha kujiuliza hivi serikali huwa inasubiri mpaka wasikie kelele za waliogoma ndo wajue kunashida au nitabia ya kujijali wao wenyewe ndo kinawafanya wasitatue matatizo mapema? kwa mwendo huu hata swala la katiba mpya na wasiwasi mpka jengo la IKULU likazungukwe na wananchi wanahitaji mabadiliko.
 
Back
Top Bottom