Baada ya kukusanya hotuba zake zenye mashiko zipatazo 3,520, ninayo kila sababu ya kumuita huyu future president wetu Professor. Lengo ni kutofautisha mchango wako na ule wanasiasa wengine wanaoitwa Dr. (ama kwa kupewa ama kwa kusoma ki halali ama kwa kuchakachuwa). Upo mbali saaaana professor.
Basi kwa mamlaka niliyopewa na walalahoi wenzangu tunaopata mlo mmoja kwa siku na kutibiwa kwa mitishamba natamka rasmi ya kuwa wewe ni PROFESSOR!
Baada ya kukusanya hotuba zake zenye mashiko zipatazo 3,520, ninayo kila sababu ya kumuita huyu future president wetu Professor. Lengo ni kutofautisha mchango wako na ule wanasiasa wengine wanaoitwa Dr. (ama kwa kupewa ama kwa kusoma ki halali ama kwa kuchakachuwa). Upo mbali saaaana professor.
Basi kwa mamlaka niliyopewa na walalahoi wenzangu tunaopata mlo mmoja kwa siku na kutibiwa kwa mitishamba natamka rasmi ya kuwa wewe ni PROFESSOR!
Baada ya kukusanya hotuba zake zenye mashiko zipatazo 3,520, ninayo kila sababu ya kumuita huyu future president wetu Professor. Lengo ni kutofautisha mchango wako na ule wanasiasa wengine wanaoitwa Dr. (ama kwa kupewa ama kwa kusoma ki halali ama kwa kuchakachuwa). Upo mbali saaaana professor.
Basi kwa mamlaka niliyopewa na walalahoi wenzangu tunaopata mlo mmoja kwa siku na kutibiwa kwa mitishamba natamka rasmi ya kuwa wewe ni PROFESSOR!
Mimi nijuavyo maproffessor kwao ni vyuoni ama kwenye maabara ili watuletee mambo mapya. Mwanasiasa akishakuwa proffesor ujue pumba ndizo zinachukua nafasi. Mwanasiasa akiwa proffessor tegemea akili za kitaahira kwenye maamuzi. mimi naona unamtabiria anguko kuliko kumsifia bora tu tuendelee kumuita PADRE maana yake ni BABA! dr. Slaa ni baba kuliko professor. Chukua mifani hii
1. Prof. Bingu wa Mutharika - aliua uchumi wa malawi hadi kawaacha wananunua bidhaa kwa foleni!
2. Prof. Mungai - aliua elimu ya Tanzania kwa kubadili mitaala kila mwaka na kibaya zaidi kulazimisha somo la kifaransa wakati anajua hana walimu!
3. Prof kigoma ali malima - Alipopewa tu wizara ya fedha kutoka kwa kibona ndipo shillingi ya tanzania ikaokota mporomoko! akageuza wizara kuwa msikiti kibaya zaidi alifariki akiwa anaimarisha chama chake cha kidini!
4. prof. Juma kapuya - alikuwa anaipendelea simba mpaka inatia aibu. Alikuwa anawahi mashindano ya Umiss huku apointment za maana hazichukulii uzito.
5. Prof. Lipumba - CUF kaipeleka kaburini
6. Prof. pro, pro, prof, - (na ninyi jazeni wa kwenu!)
We uliyeandika hapo juu ni **** ungesema SLAA ni pro. wa kuchukua wanawake za watu ningekuona wa maana, utaendelea kuwa maskini kwa kushabikia wanasiasa wa inchi hii
We uliyeandika hapo juu ni **** ungesema SLAA ni pro. wa kuchukua wanawake za watu ningekuona wa maana, utaendelea kuwa maskini kwa kushabikia wanasiasa wa inchi hii
hiyo itakua ni kuendekeza yaleyale tunayoyakataa humu ya kuvikana vilemba vya ukoka... profesa haandaliwi kwa kusoma/kuandika hotuba
sidhani kama hii ni progressive if we really want to nurture education