Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
WANABODI WOTE KIMENUKA
Imetoka oder kutoka mamlaka juu kuwa mawazir na manaibu wote waondoe plate number za mawaziri na manaibu mawaziri kwenye magari na waweke zile za STK na hakuna kupeperusha Bendera ya Taifa kwenye Magari.
Hapa Nipo jimboni Mwanga Maghembe ameanza kutumia gari yake Prado T 206 AZY. Gari la wizara naona limepaki Mwanga Motel anapolala Dereva. Yeye kaenda Usangi na Prado lake na Dereva wa Mkewe
Chanzo: mimi Mwenyewe na Dereva wa serikali anayemuendesha Maghembe
Imetoka oder kutoka mamlaka juu kuwa mawazir na manaibu wote waondoe plate number za mawaziri na manaibu mawaziri kwenye magari na waweke zile za STK na hakuna kupeperusha Bendera ya Taifa kwenye Magari.
Hapa Nipo jimboni Mwanga Maghembe ameanza kutumia gari yake Prado T 206 AZY. Gari la wizara naona limepaki Mwanga Motel anapolala Dereva. Yeye kaenda Usangi na Prado lake na Dereva wa Mkewe
Chanzo: mimi Mwenyewe na Dereva wa serikali anayemuendesha Maghembe