Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Hunimezeshi hata kwa bunduki. Wanataka kueneza tu HIV maana wanaume huwa wanaogopa mimba.bora wanatupunguzia mizigo mingine wanawake
itakuwa raha mnapangiana zamu za kumeza.
Hunimezeshi hata kwa bunduki. Wanataka kueneza tu HIV maana wanaume huwa wanaogopa mimba.bora wanatupunguzia mizigo mingine wanawake
itakuwa raha mnapangiana zamu za kumeza.
Hatumii mtu, abadani asilani.
Mi watanisamehe bure, sinywi hata kwa viboko!
mnnipa raha wakaka wa jf so wake zenu tutumie ila nyie mmh!
nyie ni maselfish sana aisee
ahahahahhahhah watakuwa wanatoa povu badala ya madhiwa!oh tate nane!TMK kwa kweli ikiwezekana mumfungulie kesi Mtambuzi inakuwajeeee anawatolea tafiti hizi mlizoamua kuzificha kwa gharama kiasi kile ahahahhahhaah Mtambuzi kikikunukia mi simooooooooooo:A S 109:safi sasa haki sawa kwa wote hizi hapa.
sasa Mtamabuzi hivi tu na hii mikuku ya kisasa nguvu za kiume hawana kila siku wana boost sembuse sasa leo wapewe na hizi za dry orgasm? yaani wakitema wateme mapovu lol! sipati picha Nyani Ngabu yuko na mpenziwe Kongosho halafu anakojoa povu kama sio hewa lol!
jamani nawaonea huruma mie kiukweli hapo tu watoto wadogo wa miaka 20+ wanakojoa pumzi wakipewa na hizi si zaid mmh ngoja nilee wanangu aisee wazae mapema nijukuu manake huko mbelen ninahatari ya kuwakosa
shosti acha tu hapa mtu anameza kila anapotak kufanya mapenzi lakin hatak kupata mtoto, na hii inamfanya akifikia ku peas basi hatoi manii anatoa hea tu lol!mi nakwambia leo mbona TMK mwenzao kawaamulia kwanza asubuhi kawajia na wanaume nao huingia kwenye hedhi,wakatoka povu weeeeh sa hizi kanitonya kuwa kuna nyingine ya kumeza vidonge vya majira nawasubiri waje hapa ! Ruttashobolwa iwe hebu njoo upate dozi yako hapa mwalimu gfsonwin amekuja na maelekezo ya jinsi ya kuvimeza,mwite kabisa na Mkusa ,halafu usimsahau The Boss leo mbona nimekumbusha watu machungu leo!
Hivi mkifika madukani mtakuwa mkisema mnataka nini vile!?
mungu kaskia sala zangu!! atakoma !!!!,nammezesha mividonge ka pipi tofi!!
mi nakwambia leo mbona TMK mwenzao kawaamulia kwanza asubuhi kawajia na wanaume nao huingia kwenye hedhi,wakatoka povu weeeeh sa hizi kanitonya kuwa kuna nyingine ya kumeza vidonge vya majira nawasubiri waje hapa ! Ruttashobolwa iwe hebu njoo upate dozi yako hapa mwalimu gfsonwin amekuja na maelekezo ya jinsi ya kuvimeza,mwite kabisa na Mkusa ,halafu usimsahau The Boss leo mbona nimekumbusha watu machungu leo!
safi sasa haki sawa kwa wote hizi hapa.
sasa Mtamabuzi hivi tu na hii mikuku ya kisasa nguvu za kiume hawana kila siku wana boost sembuse sasa leo wapewe na hizi za dry orgasm? yaani wakitema wateme mapovu lol! sipati picha Nyani Ngabu yuko na mpenziwe Kongosho halafu anakojoa povu kama sio hewa lol!
jamani nawaonea huruma mie kiukweli hapo tu watoto wadogo wa miaka 20+ wanakojoa pumzi wakipewa na hizi si zaid mmh ngoja nilee wanangu aisee wazae mapema nijukuu manake huko mbelen ninahatari ya kuwakosa
leo mnalo hamtaki mtakoma. sipati piha unaanza kukojoa pumzi lolest! uanamme kwishneyyyyyyyyyyyy
Nampigia simu injinia sasa hivi uone twimbwili lake!!!!!