Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,284
hawa jamaa tokea walivyopakatwa na azam inaonekana wamenogewa na haka kamchezo hawataki kuacha.!
unamaanisha mashabiki,viongozi ama wachezaji?fafanua mkuu.
hawa jamaa tokea walivyopakatwa na azam inaonekana wamenogewa na haka kamchezo hawataki kuacha.!
te! te! te! Wote.!!!!unamaanisha mashabiki,viongozi ama wachezaji?fafanua mkuu.
wewe kichwa chako ni sawa na comtainersimba mavi matupu...
Yaani kwa timu ile niliyoiona juzi walitomaswa 3-0 na Sofapaka ni wazi kuwa hakuna jipya pale...
wewe kichwa chako ni sawa na comtainer