Sasa Nataka Kadi ya Uanachma DarYoung Africans

Marumeso

JF-Expert Member
Oct 3, 2009
1,410
1,313
Sasa mawimbi yametulia.
Nina imani mambo yatakuwa yanaenda yakinyooka.....napata wapi kadi nipo kimara mwisho
 
Luck karibu sana kwenye team,nitakuulizia Viongozi wa matawi ya Kimara then nitakujulisha,sasa ndo mtaijua Yanga...Nchunga kaondoka na team kaiacha kwenye mikono salama kabisa..
Siku zote Yanga daima ni mbele,nyuma mwiko
 
Luck karibu sana kwenye team,nitakuulizia Viongozi wa matawi ya Kimara then nitakujulisha,sasa ndo mtaijua Yanga...Nchunga kaondoka na team kaiacha kwenye mikono salama kabisa..
Siku zote Yanga daima ni mbele,nyuma mwiko

Shukrani kaka.
 
Luck karibu sana kwenye team,nitakuulizia Viongozi wa matawi ya Kimara then nitakujulisha,sasa ndo mtaijua Yanga...Nchunga kaondoka na team kaiacha kwenye mikono salama kabisa..
Siku zote Yanga daima ni mbele,nyuma mwiko

kaka anslem hiyo logo ni feki sio logo halisi ya yanga,ukiwa kama mwakilishi wa yanga hapa jf(viti maalum) tunaomba uoneshe mfano wa kutumia products halisia vya yanga
 
kaka anslem hiyo logo ni feki sio logo halisi ya yanga,ukiwa kama mwakilishi wa yanga hapa jf(viti maalum) tunaomba uoneshe mfano wa kutumia products halisia vya yanga

Card.jpg

Zote ni logo tu Kaka
 
Noooo lazima tutofautishe real logo na logo wanazobuni watu wa tandale kwa tumbo ili waweke kwenye jezi feki ili wakwepe mkono wa sheria..alafu naona kuna mtu anasketi hapo na na mwingind bondia waanafanya nini hapo!

Wacha nijitolee kukusomesha,pamoja na kwamba nimegundua una ka'element ka'ubishi lkn kwangu utakaa sawa tu,umeuliza skirt na mtu aliyevaa gloves za mabondia wanafanya nini kwenye logo,sasa mimi nakujibu...kama inavyoeleza tafsiri ya jina kamili la Yanga "Young Africans Sports Club" ni Club ya michezo kwa ujumla na wakati inaanzishwa mpaka kwenye miaka ya 80's Yanga ilikuwa ina team kuu 3 za michezo,team ya footbal (soka) ambayo ndo ime'dominate sasa,team ya ngumi iliyokuwa inajulikana kama Young Africans Boxing team na team ya Netball,ni upeo haba wa viongozi waliokuwa wanapata nafsi ya kuongoza Club kwenye miaka ya mwishoni mwa 90 mpaka sasa ndo ulioua hizi team nyingine na kubaki na team ya footbal peke yako.
Tuko pamoja?
 
Wacha nijitolee kukusomesha,pamoja na kwamba nimegundua una ka'element ka'ubishi lkn kwangu utakaa sawa tu,umeuliza skirt na mtu aliyevaa gloves za mabondia wanafanya nini kwenye logo,sasa mimi nakujibu...kama inavyoeleza tafsiri ya jina kamili la Yanga "Young Africans Sports Club" ni Club ya michezo kwa ujumla na wakati inaanzishwa mpaka kwenye miaka ya 80's Yanga ilikuwa ina team kuu 3 za michezo,team ya footbal (soka) ambayo ndo ime'dominate sasa,team ya ngumi iliyokuwa inajulikana kama Young Africans Boxing team na team ya Netball,ni upeo haba wa viongozi waliokuwa wanapata nafsi ya kuongoza Club kwenye miaka ya mwishoni mwa 90 mpaka sasa ndo ulioua hizi team nyingine na kubaki na team ya footbal peke yako.
Tuko pamoja?
Ha ha haa haa, Mkuu labda iliyokufa ni Netboli lakini ya Boxing haijafa, hukuona ilivyopafomu siku ya Mechi ya Azam?
 
Back
Top Bottom