Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...yaani muda wote nilioikosa JF nimeshindwa hata kuwa productive. Kila nikijaribu kuingia napata error message, nikadhani nimepewa BAN. Nina namba ya Lizzy tu binti yangu, nikataka kuuliza kulikoni lakini hata nae namba yake nikawa siipati. Nikakumbuka kuwa Mzee Mwanakijiji alisema ukumbi wetu unaweza kuilingiwa na wana magamba ili kuzuia mabadiliko, nikawaza ndio hayo au...?
Muda huu ndio naipata JF, wabarikiwe wote waliowezesha JF kurudi. Kwa mtindo huu mnaojisifia kupigwa BAN mna ujasiri wa aina yenu, mie nakiri kuwa nikipigwa BAN sijui itakuwaje!!
Muda huu ndio naipata JF, wabarikiwe wote waliowezesha JF kurudi. Kwa mtindo huu mnaojisifia kupigwa BAN mna ujasiri wa aina yenu, mie nakiri kuwa nikipigwa BAN sijui itakuwaje!!