Wanafki wanasubiri vyeo....hawaangalii maslahi ya nchi, udini na tamaa ya vyeo umewajaa.
Nimekuwa mwanachama mfu wa CCM kwa muda mrefu, hasa baada ya kuchoka kuishi katikati ya uozo wa kisiasa ndani ya chama hicho. Nimekuwa nikisita sita kwa kuwa sikuwa na uhakika kama kweli vyama vya upinzani viko 'serious'.
Nilikuwa nasubiri kuvipima kwenye matukio mazito maana bila matukio mazito kila kimoja kilionekana chama cha upinzani. Leo hii baada ya matukio mazito ikiambatana na baadhi ya vyama kupewa rushwa ya madaraka na CCM, ndipo imethibitika kuwa kuna chama kimoja makini cha upinzani nchi hii.
Baada ya leo hii CHADEMA kufanya tukio la kishujaa bila kujali kwamba watakosa madaraka haya au yale bali kwa kuweka maslahi ya haki ya wapiga kura wa Tanzania mbele, sasa nimeamua rasmi kuhama CCM na uanachama wangu mfu na sasa nahamia CHADEMA.
Ninahama na kundi la wapiganaji zaidi ya hamsini tulio kwenye maeneo nyeti sana katika nchi hii.
Buriani CCM, Buriani CUF, Buriani wasaliti wote.
kumbe umeliona hilo ndugu...tumeshawashtukia. waache unafiki kujifanya wanadai maslah ya nchi.ni udini tu hapa, wanachefua! tumewavumilia sana hawa!
Mwalimu alisema "CCM si mama yangu." Sasa kama mwanzilishi anasema CCM si mama yake je wale waliojiunga na wakaamua kuhama wanakosa gani. Naona nikusamehe kwani umazungumza kwa kuhamaki na kukurupuka kwani katika mazingira hayo akili haitumiki ila makamasi.HAMENI NYOTE, KWANI MLILAZIMISHWA KUKAA CCM?? OPPORTUNISTS WAKUBWA NYIE.:nono:
Mwalimu alisema "CCM si mama yangu." Sasa kama mwanzilishi anasema CCM si mama yake je wale waliojiunga na wakaamua kuhama wanakosa gani. Naona nikusamehe kwani umazungumza kwa kuhamaki na kukurupuka kwani katika mazingira hayo akili haitumiki ila makamasi.
We did not even notice you existed. Its better to die in CCM than being alive in CHADEMA.
Umekosa madaraka and now you are crossing over, uchaguzi umepita unafuata nini huko?
Jasusi... now you understand my signatureAkashube,
Hauko peke yako. Katika matanuzi yangu bongo hivi karibuni nimekutana na wana CCM wengi tu ambao wako disillusioned na chama chao.
Wengi wametoa mchango wa hali na mali kwa CHADEMA na baadhi wanaendelea kutoa mchango wa mawazo na ushauri. CHADEMA is a growing party. CCM is Titanic na wote waliomo kuna wakati watatambua kuwa wamekwaa meli inayozama.
Nimekuwa mwanachama mfu wa CCM kwa muda mrefu, hasa baada ya kuchoka kuishi katikati ya uozo wa kisiasa ndani ya chama hicho. Nimekuwa nikisita sita kwa kuwa sikuwa na uhakika kama kweli vyama vya upinzani viko 'serious'.
Nilikuwa nasubiri kuvipima kwenye matukio mazito maana bila matukio mazito kila kimoja kilionekana chama cha upinzani. Leo hii baada ya matukio mazito ikiambatana na baadhi ya vyama kupewa rushwa ya madaraka na CCM, ndipo imethibitika kuwa kuna chama kimoja makini cha upinzani nchi hii.
Baada ya leo hii CHADEMA kufanya tukio la kishujaa bila kujali kwamba watakosa madaraka haya au yale bali kwa kuweka maslahi ya haki ya wapiga kura wa Tanzania mbele, sasa nimeamua rasmi kuhama CCM na uanachama wangu mfu na sasa nahamia CHADEMA.
Ninahama na kundi la wapiganaji zaidi ya hamsini tulio kwenye maeneo nyeti sana katika nchi hii.
Buriani CCM, Buriani CUF, Buriani wasaliti wote.
HAMENI NYOTE, KWANI MLILAZIMISHWA KUKAA CCM?? OPPORTUNISTS WAKUBWA NYIE.:nono:
We did not even notice you existed. Its better to die in CCM than being alive in CHADEMA.
Umekosa madaraka and now you are crossing over, uchaguzi umepita unafuata nini huko?
Du! Nadhani mapenzi yako juu ya CCM ni zaidi ya Nyerere aliyesema CCM si baba na si mama yangu.
Sasa ulitaka ahamie kabla ya uchaguzi kwani amekwambia anahamia CHADEMA kwa lengo la kupata uongozi? Hii inadhihirisha kuwa anahamia kwa mapenzi yake na si kwa kutafuta uongozi. Soma tena post yake kwa makini.
Nimekuwa mwanachama mfu wa CCM kwa muda mrefu, hasa baada ya kuchoka kuishi katikati ya uozo wa kisiasa ndani ya chama hicho. Nimekuwa nikisita sita kwa kuwa sikuwa na uhakika kama kweli vyama vya upinzani viko 'serious'.
Nilikuwa nasubiri kuvipima kwenye matukio mazito maana bila matukio mazito kila kimoja kilionekana chama cha upinzani. Leo hii baada ya matukio mazito ikiambatana na baadhi ya vyama kupewa rushwa ya madaraka na CCM, ndipo imethibitika kuwa kuna chama kimoja makini cha upinzani nchi hii.
Baada ya leo hii CHADEMA kufanya tukio la kishujaa bila kujali kwamba watakosa madaraka haya au yale bali kwa kuweka maslahi ya haki ya wapiga kura wa Tanzania mbele, sasa nimeamua rasmi kuhama CCM na uanachama wangu mfu na sasa nahamia CHADEMA.
Ninahama na kundi la wapiganaji zaidi ya hamsini tulio kwenye maeneo nyeti sana katika nchi hii.
Buriani CCM, Buriani CUF, Buriani wasaliti wote.