TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
tunaita fanya fyoko ukamuliwe, utavutiwa mdomno mwezim mzimaHahaha...unamwambie wife "We mama, nguo gani hiyo unavaa? Hiyo miguu unaiona? Kama huioni hebu jiangalie kwenye kioo. hebu badilisha huko, la sivyo nenda peke yako?"