Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
mamushka nakusubiri pm...
nimekuletea low cut ya kufa mtu lol
Ha haaa that's ma boy, ngoja na mi nikupandie huko huko.
mamushka nakusubiri pm...
nimekuletea low cut ya kufa mtu lol
...that's what I mean, majority hawapendezi!.....aaaarrrghhhhhhh!!!.....
Bak hio picha ya kwanza ukivaa hio nguo kufuli aina ni bikini... Hivyo haina maana. Hiyo nguo yani kuvaa kama huyo dada inabidi we mdada uwe na a very perfect a*** huyo dada as much as umemsifia yeye ilitakiwa avalie top inayo cover kidogo hadi walau mpaka chini kidogo... Katika fashion ya sasa hivi hio ndo nguo inakosewa kuliko zooote... wengine huonekana hata kama hoookers... Kuepusha kuumiza kichwa personally sigusi...
Huyo mdada wa boobs, yes she looks good and sexy but hayo mazingira yanaonesha kama kuna kazi ilikua inaendeshwa hapo... I hope alikua anapita tu but nguo ya namna hio ukivaa sehemu ya kazi men dont even listen to what you are saying... kila saa wanakuja na shida but the eyes, mind and juniors diverged... Haipendezi kazini inaonekana hauko serious...
Jamani Mbu ukiona hapa nilivyo vaa si utakimbia :biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Hahahah embu tuacheni jamani....alafu sio kila mwenye kioo anajiona!!Wengine nadhani hua wanaona kitu tofauti kabisaaaa na kile wanachoona watu wa nje!!!
mbu,acha kujishusha sukari baba! huyo ana watu wa karibu na yeye ambao ndo kioo chake.ana wazazi,ana mpenzi,maybe ana watoto,ana ndugu na marafiki pia.hata siku moja usijishughulishe na mtu ambaye huma ukaribu naye,manake hao woote wameona alivyo ni sawa,ww bakia na ushamba wako wa tandahimba! :dance:unaweza kukuta mumewe ndo anamletea hayo mavazi na anapenda avae hivyo! she fits in the society she belongs to,u dont fit in it then take a walk.maisha yanakuwa tres bien!bon bon...
...kweli eee? am trying bana, ila nawaonea huruma wanavyohangaika kuvuta chini vimini skirt vyao.
au wanapokuwa wakali kwanini macho yetu wapita njia tunayagandisha vifuani, au kwenye makalio mayo....!
The problem is even bigger when you are blessed with a semi-permanent diverged junior!! lol
If you work in an office endowed with beauties of sort, then a file folder has to be handy at all times... you oughtta criss-cross them corridors while carrying one!!
Oooh yeah, au kuchomoa shati kama ulikuwa umechomekea.
Hilo unalosema ni kweli kabisa BAK... lakini wee hebu angalia tu tshirt yangu kwenye avatar!! Nilishajishtukia mapemaaaa... lol
...Okey, ...kwahiyo huu ndio uvaaji wa kimjini? Gademu!
Hata hawapendezi! Sooo repulsive!
Moskwito leo uko kikazi zaidi naona.
Hii midada mingine kiukweli inaboa sana. Inawadhalilisha wanawake wenzao.
meti... hilo liko wazi, sasa ukute keshapachika chinese kila idara ndo balaa, atahangaika ilmradi hizo appendages zionekane mwisho anakua kama kadudu-mtuMoskwito leo uko kikazi zaidi naona.
Hii midada mingine kiukweli inaboa sana. Inawadhalilisha wanawake wenzao.
babu mi sikubali! sibebi aibu ya mtu!ww nikikubebesha aibu za Rz1 ama Nape utakubali?mbona unaongoza kunionea babu?
maeti... hilo liko wazi, sasa ukute keshapachika chinese kila idara ndo balaa, atahangaika ilmradi hizo appendages zionekane mwisho anakua kama kadudu-mtu
tamu ni pale anapojaribu style inayopendeza wembamba wakati yeye mwili jumba, au anachapa tight wakati mabaka yameziidi ya cheeter au kapachika fito za genge downstairs
cha maana hapa ni dress decent and be treated with respect, ukivaa kama kibwengo cha jolilies club utafana nao wa jollies na hata waliokuzunguka watakua wamekaa ki-jollies club... si wazazi, mwenza, watoto, ndugu na hata office mates
inauma sana uchungu aisee.... yani inakua kama fuso lina tairi za bajaji... si bora kuvaa maksi au trauza aisee at least kufunika kombe mwanaharamu apiteMeti umenivunja mbavu zangu asee....
Umenikumbusha jirani yangu...miguu kama mshale wa sekunde lakini anapiga kimini cha kufa mtu. Afu mmewe sijui kipofu? Manake anavyokatiza naye mitaani LOL. Mi siwezi ongozana na kitu kama kile asee! Hata kama angekuwa mama yangu!
Inauma sana aisee!
Mods plis msiiondoe hii hapa, Kina dada wanapitiliza sasa!
...hii ndio nini? eti? cheki link hii; mambo iko huku - Global Publishers
kina dada hii ndio niniiiii???????!
kwahisani ya Globalpublisherstz
...mnaudhi msipoyakemea haya bana, bora nihamie Zenj...kule angalau bado kuna staha kidogo. Hizi low cuts, chakula cha mtoto nje nje, mara leggings, ...myakemee, wanatembea uchi bana!
Hiyo picha ya kwanza naona kama hana kufuli huyo lakini kama akiwa na kufuli mie sioni shida yoyote na picha ya pili kwa kweli sioni tatizo lolote...pamoja na kuwa matiti yanachungulia hahahahah lol! Tandahimba na Ikwiriri hakuna hizo Mkuu....Acha watu waseme jijini/mjini raha! LOL!
Wenyewe wanaona wanapendeza jamani....inauma sana uchungu aisee.... yani inakua kama fuso lina tairi za bajaji... si bora kuvaa maksi au trauza aisee at least kufunika kombe mwanaharamu apite