AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
mimi kinachonishangaza na fasheni za wanawake ni kuwa
kinguo kama hiko utasema ki pajama cha kulalia...
kumbe kwao ndio bonge la fasheni na mtu anachukua masaa kdhaa kwenye kioo lol na hapendezi still
kazi kuwa mwanamke....
lol.....lol.....lol....lol....