SaSa hv mwendo ni kuoa mabinti wenye degree tu

ha ha haa nikuonye tu sura yangu ya ukweli
iko kati kati ya dr remmy ongala na bi kidude
usikimbie ukipiga mayowe tu lol

Hahahaaa.... Kama habari ndio hiyo wacha niendelee kuwa busy na hii research yangu, naona research title haijakaa vizuri..! Na hizi objectives naona haziko SMART zitanisumbua kwenye data analysis..!
 
Hahahaaa.... Kama habari ndio hiyo wacha niendelee kuwa busy na hii research yangu, naona research title haijakaa vizuri..! Na hizi objectives naona haziko SMART zitanisumbua kwenye data analysis..!

SMART objectives, umenikumbusha project planning. . .
 
Neylu hapo umemaliza eti mwenye digrii tatu kwani haipiti? hahahahhahahahahahahhahahhahahahahaahahhahahahaha


Unaogopa haya ma degree matatu?? Mmmh... Ina maana uki date na wenye degree tatu huwa haipiti??
 
Mwanamke kusoma ni kitu muhimu sana, kitu kimoja tu usisahau mke mzuri ni yule aliye lelewa nyumbani kwao vizuri... anaye heshimu ndoa, kabla ya kuheshimu elimu yake :biggrin1:
 
Mimi nafikiri swala la kuoa linahitaji kumwomba sana mungu, kwani marriage can change yo future totally, swala la degree halina uhusiano na ndoa, status inabakia mume/mke....
 
Usimpe moyo The Boss maana yeye kitandani ataona poa tu kama vile yupo na yule wa english course, tatizo anaogopa life after kitandani hususani katika mazungumzo, wakati wewe unazungumza nilipokuwa University of michigan nachukua degree ya tatu ulikuwa unajipenda, yeye atajiona anapwaya itabidi nae azungumze alipokuwa Changanyikeni jirani na UDSM alikuwa anaongea sana na wanafunzi (ili angalau na yeye aonyeshe amekaajirani na watu wa taasisi muhimu)
The Boss umezoea kuchezea vyeupe leo vyeusi vinakupaka masizi!
ahahhahahahhahahhahhahahhaha uwiiih !jamani mpeni pumzi kidogo muumini wangu lol!
 
Last edited by a moderator:
Degree (a.k.a digriiii) ya fani gani? maana mmmmh ngumu kidogo ku-comment hapa
 
Back
Top Bottom