Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
katika hali isiyo ya kawaida mahakama kadhaa mkoani tanga leo wameshindwa kuendesha shughuli zake kutoka na magari yanayotumika kuleta watuhumiwa kushindwa kufika mahakani kutoka na kukosa mfuta.habar zilizonifikia mahakimu na watu wengine walifika mahakani hapo asubuhi lakini watuhumiwa hola! Huu sio udhalilishaji wa mahakama zetu ambazo ni nguzo muhimu kwenye nchi yetu?