MD25
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 3,074
- 1,018
Naonavyo mimi, sarafu 1 kwa EAC ni mapema mno... Tuna mengi ya kurekebisha kabla hatujafika huko. Pia, bado hizi nchi wanachama hatuaminiani, tunaishi kwa kuviziana na kwa mashaka mno, sarafu 1 inaitaji uaminifu sana, sasa kwa ujanja ujanja wa wakenya, tamaa ya m7 na kagame, hatuwezi tengeneza strong monetary union. Hili swala tungesubili kwanza. Afteral, mbona tunakuwa na haraka mno??