Sarafu Moja E.A.C : Ripoti Yatoka, Mabishano Makali Yazuka

Naonavyo mimi, sarafu 1 kwa EAC ni mapema mno... Tuna mengi ya kurekebisha kabla hatujafika huko. Pia, bado hizi nchi wanachama hatuaminiani, tunaishi kwa kuviziana na kwa mashaka mno, sarafu 1 inaitaji uaminifu sana, sasa kwa ujanja ujanja wa wakenya, tamaa ya m7 na kagame, hatuwezi tengeneza strong monetary union. Hili swala tungesubili kwanza. Afteral, mbona tunakuwa na haraka mno??
 
mabishano makali yamezuka katika mjadala unaoendelea katika makao makuu ya jumuiya ya afrika mashariki huko arusha katiya kenya na rwanda. Hoja ikiwa ni wao wanataka kuwe na sarafu moja ya jumuiya, lakini waendelee kubaki na sarafu zao kama kawaida huku rwanda ikisisitiza usd iwe ndio hela ya jumuiya na kila mmoja abaki na sarafu yake. Majadiliano yatakayodumu kwa siku sita mfululizo yanalenga kuikomboa afrika mashariki kiuchumi. Tofauti ya mikopo toka imf kwa nchi mojamoja jinsi ya kuulipa mkopo huo kwa pamoja, ni moja kati ya masuala yaliyojadiliwa.sudan ya kusini ambaye mara zote yeye huwa mgeni mwalikwa na "mtazamaji" tu (observer) safari hii kaambiwa asubiri kwanza hadi wao wakubaliane mambo ya msingi. Kenya imetunisha misuli baada ya tanzania kuitunishia misuli kuhusu suala la ardhi. Hivi punde nita-attach nakala ya ripoti yote na mchakato mzima jinsi ulivyokuwa.
eac monetary union protocol hadi sasa haijasainiwa. Kenya yailalamikia tanzania....gharama za mpaka ambazo tanzania inazichaji nchi jirani kuingiza gari na kuliendesha nchini zagusiwa..ni dola 200. Kenya yapinga ushuru huo..tahadhari yatolewa...signatories na heads of delegations of partner states ni hawa hapa chini:

Republic of Burundi: Audance Niyonzima
Republic of Kenya:Julius Mutua (Ministry of Finance)
United.Republic of Tanzania: Amantius Msole(Ministry of EAC Cooperation)
Republic of Rwanda:Dr Thomas Kigabo (national bank of rwanda)
Republic of Uganda: Adam Mugume (Ministry of Finance, Planning & Economic Development)

naendelea kuwajuza yanayojiri...ila attachment nyingine nitaziacha kwa mfano hii ya" Protocol on the establishment of the EAC Monetary Union" hii ni ndefu sana ina page 53 na articles ziko 76. Naomba ushauri wenu kama ni-attach zote au nichague zile muhimu tu. Hii ni kutokana na ahadi yangu niliyoitoa. Kuna za kusainiwa leo kabla ya ripoti kuu ambayo hata hiyo sijui kama itatoka kwani imegubikwa na utata.....
 
eac monetary union protocol hadi sasa haijasainiwa. Kenya yailalamikia tanzania....gharama za mpaka ambazo tanzania inazichaji nchi jirani kuingiza gari na kuliendesha nchini zagusiwa..ni dola 200. Kenya yapinga ushuru huo..tahadhari yatolewa...signatories na heads of delegations of partner states ni hawa hapa chini:

Republic of Burundi: Audance Niyonzima
Republic of Kenya:Julius Mutua (Ministry of Finance)
United.Republic of Tanzania: Amantius Msole(Ministry of EAC Cooperation)
Republic of Rwanda:Dr Thomas Kigabo (national bank of rwanda)
Republic of Uganda: Adam Mugume (Ministry of Finance, Planning & Economic Development)

naendelea kuwajuza yanayojiri...ila attachment nyingine nitaziacha kwa mfano hii ya" Protocol on the establishment of the EAC Monetary Union" hii ni ndefu sana ina page 53 na articles ziko 76. Naomba ushauri wenu kama ni-attach zote au nichague zile muhimu tu. Hii ni kutokana na ahadi yangu niliyoitoa. Kuna za kusainiwa leo kabla ya ripoti kuu ambayo hata hiyo sijui kama itatoka kwani imegubikwa na utata.....

zote iko poa zaid but if u can summarize nafkir itakuwa zaid ya poa
 
waafrika bana kupanga mipango yao eti ni lazima na wazungu wawepo tunaitaji kubadilika la sivyo hakuna kitu kitakachofnyika sanasana ni kutupiganisha tu hapo baadae.chezea beberu wewe linaweza kumfuata jike lake maili sabini..........
 
hii jumuiya ni ya kisanii mno,sioni kiongozi wa kisiasa hapa EAC mwenye nia ya kweli ya kuleta muungano.sana sana ni waroho na opportunists tu.
 
zote iko poa zaid but if u can summarize nafkir itakuwa zaid ya poa
Asante mkuu, nitafanya hivyo..ila had sasa mkutano wa pamoja haujaanza, kila nchi ilikuwa inajadili kivyake, na sasa ni lunch time, waganda wasusia chakula...usiri wa vikao watawala zaidi ila hakuna kitu kitakachojificha,.......kuna pages zaidi ya 6000 ninazo hapa zote naziona ni muhimu na bado naendelea kukusanya kila document hadi mwisho.

 
Naonavyo mimi, sarafu 1 kwa EAC ni mapema mno... Tuna mengi ya kurekebisha kabla hatujafika huko. Pia, bado hizi nchi wanachama hatuaminiani, tunaishi kwa kuviziana na kwa mashaka mno, sarafu 1 inaitaji uaminifu sana, sasa kwa ujanja ujanja wa wakenya, tamaa ya m7 na kagame, hatuwezi tengeneza strong monetary union. Hili swala tungesubili kwanza. Afteral, mbona tunakuwa na haraka mno??
MKUU md25, na ndio maana Tanzania imekataa katika suala la ardhi yake kuingizwa kwenye Jumuiya. leo hakuna kikao chochote cha halaiki kilichofanyika hapa. kila nchi imekaa kivyake

Matukio muhimu ni haya:
Anayeongoza kwa

Kulalamika

1. Kenya
2. Uganda
3. Rwanda
4. Tanzania
5. Burundi

Maneno makali na yasiyo na staha

1.Kenya
2.Tanzania
3.Uganda
4.burundi
5.Rwanda

Kuchelewa kutoa maamuzi

1. Tanzania
2. Rwanda
3. Burundi
4. Uganda
5. Kenya

Kutaka protocol zote zisainiwe mara moja

1. Kenya
2. Uganda
3. Rwanda
4. Burundi
5. Tanzania

Mwenye kura ya VETO katika maamuzi yote ktk mkutano huu

1. Tanzania (ndiyo mwenyeji na yenye mwakilishi toka wizara husika-Wizara ya EAC -Ushirikiano.)
2.Uganda
3. Kenya
4.Rwanda
5.Burundi

Huenda mkutano huu ukavunjika bila ya makubaliano yoyote kufikiwa.


 
Politicians think that a common currency is achievable by looking the case of the USA.
In order to attain a common currency, each country should agree to forego it's monetary sovereignty and then build upon a framework to regulate inflation and bilateral trade between member states and third countries.

There are so many issues that will make monetary integration impossible, we have inflation, sovereign debts, unbalanced international trade, black markets etc.

Updates za sasa hivi: Hadi sasa hakuna jipya sana ila Heads of Delegation wamekubaliana kuwasihi watu wao waache jazba, watoke nje wote: The BIG Five ( Signatories) wamebaki ndani.

Kwa sasa : Wanaoelewa na wanajifanya hawaelewi: (baadhi ya vipengele muhimu sana kwa lengo la kupotezea tu)

1.Kenya
2.Uganda
3.Tanzania
4. Burundi
5. Rwanda

Kwa sasa: Wasioelewa na wanajifanya kuwa wanaelewa:(katika majumuisho ya ripoti ya 2010 iliyosainiwa kuwe na mjadala kuhusu sarafu moja (EAC Regional currency)

1.Kenya
2.Uganda
3.Burundi
4.Rwanda
5.Tanzania

Kwa sasa :Wabishi waliobobea na wenye kulazimisha mambo:(kuhusu kusaini na kumaliza mapema na wakakwama)

1.Uganda
2.Kenya
3.Burundi
4.Rwanda
5.Tanzania

Kwa sasa: Aliyeshika nafasi ya juu "VETO" kuliko wengine wote na mwenye uwezo wa kukataa jambo lolote hata kama sababu si za msingi sana.

1.Tanzania (Ndiye pekee yenye mwakilishi toka Wizara ya EAC-Mawasiliano, pia ndio mwenyeji wa mkutano huu)
2. Uganda
3. Rwanda
4. Kenya
5. Burundi

Kwa sasa :Wa kwanza kuchemka kwa kwenda off-topic kwa kutaka rangi ya safuru hiyo iweje:
1. Kenya

Kwa sasa: Waliofuatia kuchangia kwa kuufunga mjadala huo ni :

1. Tanzania
2. Rwanda
3. Burundi

Uganda haikuwa na comments.

Kwa sasa: Wa kwanza kuzua Mabishano kuhusu bendera za "member states" kwenye milingoti ya nje, kwamba mbona bendera yetu hatuioni na ambao walipinga kupeperushwa bendera ya EAC pekee ni:

1. Kenya
2. Uganda
3. Burundi

Kwa sasa: Waliouliza kwanini bendera ya EAC pekee wakati iko ya Tanzania ni :

1.Kenya pekee na jibu walilopewa ni kama hawaitaki bendera ya EAC pekee wauvunje muungano ili wabaki na ya kwao huko kwao.

Picha ya Kikwete yaleta Balaa:

Mjumbe toka Uganda alitaka kuishusha bendera ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mhe. Dr Jakaya Mrisho Kikwete) kwa madai kuwa huwa hawatembelei wenzake na kujadiliana mambo yahusuyo Jumuiya.akasema bora hii picha ikae chini kwa muda kama adhabu, badala yake yeye ndio kapewa adhabu.

Alichoambulia ni kupata onyo kali na kukaa nje ya mkutano bila kuhudhuria plenary session mbili na kuzuiwa kujadili chochote hadi mwisho wa mkutano.

Wajumbe wanatoka na kwenda ku-refresh.
 
kwa kuanzisha sarafu moja haitokubalika mana kiukweli kila nchi inajivutia kwake tuuuu
wakubaliana kwa shingo upande, wasiwasi bado upo wa wote
, kila nchi huenda ikendelea kutumia sarafu yake hata kama ya eac itakuwepo...itakuwa kama mfumo wa hati ya kusafiria ya jumuiya hiyo. Kila nchi ina hati yake na bado iko ile hati ya kusafiria ya jumuiya. Jumuiya.
 
Mabishano makali yamezuka katika mjadala unaoendelea Katika Makao Makuu ya Jumuiya Ya Afrika Mashariki Huko Arusha katiya Kenya na Rwanda. Hoja ikiwa ni wao wanataka kuwe na sarafu moja ya jumuiya, lakini waendelee kubaki na sarafu zao kama kawaida huku Rwanda ikisisitiza USD iwe ndio hela ya jumuiya na kila mmoja abaki na sarafu yake. majadiliano yatakayodumu kwa siku sita mfululizo yanalenga kuikomboa Afrika Mashariki kiuchumi. Tofauti ya mikopo toka IMF kwa nchi mojamoja jinsi ya kuulipa mkopo huo kwa pamoja, ni moja kati ya masuala yaliyojadiliwa.

Sudan ya Kusini ambaye mara zote yeye huwa mgeni mwalikwa na "Mtazamaji" tu (Observer) safari hii kaambiwa asubiri kwanza hadi wao wakubaliane mambo ya msingi. Kenya imetunisha misuli baada ya Tanzania kuitunishia misuli kuhusu suala la ardhi. hivi punde nita-attach nakala ya ripoti yote na mchakato mzima jinsi ulivyokuwa.
kazi ya kusaini imeshaanza, Annex V document iliyosheheni kila kitu, Mpiga picha wa EAC anapiga picha. baada ya tukio hili itafuata Final Report...naingoja hii final report sidhani kama watanibania....lazima niipate iliyosainiwa na nikiikosa nita-attach hata ile ambayo haijasainiwa...angalau watu wajue nini kilijadiliwa na nini kimesainiwa ili wadau tuanze kuichambua humu. The Big Five peke yao ndani ya Nyumba....usiniulize nafanya kazi gani hadi nayajua mambo haya, ila mimi ni mwana JF wa kawaida tu kwani kuna mtu kani-PM eti mimi ni nani na ninafanya kazi gani...sidhani kupeana taarifa za kweli na zenye uhakika inahitaji kila mwana JF ajulikane anafanya kazi gani....hii imenikera kidogo lakini siachi kufuatilia kwani ni haki yangu.

Nitawajulisha soon.......nafuatilia.
 
Wajinga ndio waliwao. Hata hawajifunzi nini kinatokea Europe au kwenye francophone countries.

Mkuu Wacha1, hii document ya pili baada ya ANNEX V (ILIYOSHEHENI MAJUMUISHO YOTE YA MAJADILIANO NA NINI KIMEKUBALIKA IMESAINIWA TAYARI)...SITOKI HAPA HADI NISHUHUDIE FINAL REPORT IKISAINIWA, KUNA SECRETARY WA NCHI ZOTE HUSIKA HAPA HUYU WETU KAZUBAA KIDOGO ANASHANGAA....LAZIMA ANIPATIE COPY ILIYOSAINIWA.
 
Mabishano makali yamezuka katika mjadala unaoendelea Katika Makao Makuu ya Jumuiya Ya Afrika Mashariki Huko Arusha katiya Kenya na Rwanda. Hoja ikiwa ni wao wanataka kuwe na sarafu moja ya jumuiya, lakini waendelee kubaki na sarafu zao kama kawaida huku Rwanda ikisisitiza USD iwe ndio hela ya jumuiya na kila mmoja abaki na sarafu yake. majadiliano yatakayodumu kwa siku sita mfululizo yanalenga kuikomboa Afrika Mashariki kiuchumi. Tofauti ya mikopo toka IMF kwa nchi mojamoja jinsi ya kuulipa mkopo huo kwa pamoja, ni moja kati ya masuala yaliyojadiliwa.

Sudan ya Kusini ambaye mara zote yeye huwa mgeni mwalikwa na "Mtazamaji" tu (Observer) safari hii kaambiwa asubiri kwanza hadi wao wakubaliane mambo ya msingi. Kenya imetunisha misuli baada ya Tanzania kuitunishia misuli kuhusu suala la ardhi. hivi punde nita-attach nakala ya ripoti yote na mchakato mzima jinsi ulivyokuwa.
Final Report hiyooooooooo...mi nina copy ambayo haijasainiwa ila nita-attach na documents nyingine zilizosainiwa...jali tarehe tu.
 
asanteni wakuu kwa kuniunga mkono kazi imekamilika ila mnaweza endelea kuichangia......safari ya kikazi naanza kesho jioni.....shemeji mwita maranya nakuja dar, angalia nisipotee, nitapumzika kwa wiki moja. Kwa wana jf mlioko dar si vibaya tukikaa jioni moja na kunywa maji pamoja.
 
Final Report hiyooooooooo...mi nina copy ambayo haijasainiwa ila nita-attach na documents nyingine zilizosainiwa...jali tarehe tu.
Mkuu WACHA1 TUKO PAMOJA ila nisamehe kwa kusema "huyu wetu kashangaa" ni kweli alikuwa anashangaa...mimi nilikuwa namwambia aniwekee copy inayosainiwa yeye anamshangaa Mr.Robert Maate
 
Thanda asante sana kwa updates ... ... unajua wenzetu wa Kenya wanapata shinikizo kubwa sana kutoka kwa mabwana zao hususan kwenye utalii ambao ndio wamiliki wa makampuni ya utalii na unalipa ulaya then unakuja tembea tu huku. Sasa kwa nini wanakataa kulipa $200 kwa magari wakati wageni waliopo Tanzania wakienda kwenye mbuga zetu wanalipa hiyo $200? Kenya ni manyang'au na ule ujanja wao wa zamani umepitwa na wakati hivi sasa wanahaha kama jibwa lililokosa chakula hakuna haraka yoyote ya kusaini mikataba ambayo inamuumiza Mtanzania, WB na IMF ni vikaragosi ambao wanaangalia maslai ya nchi zao why wanaalikwa kwenye maswala yetu nyeti? Hakuna kulala hapa hii mikataba nakuhakikishia hata nani akisaini itafika siku tutawafurumusha hawa manyang'au ambao walimuhonga che nkapa na sasa wanatumia huo mtaji kwa M K W E R E.

Hatuwezi kudhulumiwa haki yetu na hawa manyang'au, hasa baada ya dhuluma ya kwanza wakati wa EA community.
 
Tehe, huyo aloanza suggest rangi ya sarafu i doubt during break alienda blow cha arusha hihii
:target:
 
Ujerumani yaonya kupitia GIZ

Hii ni jumuiya ya waafrika wa mashariki au ni jumuia ya US na hawa "wakoloni" wanaorudi kwa mlango wa nyuma?

Je waafrika mashariki ndio wameunda hii jumuiya au tumeundiwa hii jumuiya kutimiza malengo ya wenye mali?
 
Back
Top Bottom