HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 271
Katiba mpya ya Tanzania bila katiba mpya :A S embarassed:ya Tanganyika haiwezekani:msela::msela::flame::flame:
Mweh! Kaaaaaazi kwer kwer
Katiba mpya ya Tanzania bila katiba mpya :A S embarassed:ya Tanganyika haiwezekani:msela::msela::flame::flame:
Binzali ni kiungo cha unga unga kiwekwacho kwenye mboga ili kuongeza wekundu rojo wakati wa kukaanga mboga.....Binzali ndio nini?
Binzali ni kiungo cha unga unga kiwekwacho kwenye mboga ili kuongeza wekundu rojo wakati wa kukaanga mboga.....
Aaaaah samahani lakini kile kinaitwa 'bizari'
Hakika......itabidi ubahatishe sandakalawe ijayo.nimechelewa mkuu
Sizuiliki ng'o. BTW Regards with Love to my Alter.....
Cons. Mkuu nami nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sio bahili nisipo jinasibu kuwa miongongi mwa wa washindi na kuchelea kutoa shukrani zangu kwako na JF kwa ujumla kwa kutukutanisha jamvini. Bravo na washindi wenzangu wote
Una bahati nlikuwa bzy, ningekulipua wee