Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Hii ni Post yangu ya 499.
Nimeshamaliza kuuza Binzali yangu sasa kale kafaida ningependa nishirikiane na yeyote katika kukala.
Jaribu kuandika kitu kitakachoniudhi au kunifurahisha na kufanya Post yangu ya 500 iwe ni jibu nitakalokujibu.
Nasitisha kutuma au kuchangia Post nyingine mpaka hapo kesho saa nne asubuhi ambapo nitatangaza MSHINDI, na kum PM zawadi yake (ambaye Tayari mtakuwa mnamjua, kutokana na zoezi lenyewe kuwa wazi huru na haki kuliko zoezi la kupiga kura)
Nimeshamaliza kuuza Binzali yangu sasa kale kafaida ningependa nishirikiane na yeyote katika kukala.
Jaribu kuandika kitu kitakachoniudhi au kunifurahisha na kufanya Post yangu ya 500 iwe ni jibu nitakalokujibu.
Nasitisha kutuma au kuchangia Post nyingine mpaka hapo kesho saa nne asubuhi ambapo nitatangaza MSHINDI, na kum PM zawadi yake (ambaye Tayari mtakuwa mnamjua, kutokana na zoezi lenyewe kuwa wazi huru na haki kuliko zoezi la kupiga kura)