Sandakalawe....jitahidi unaweza ukajishindia muda wa maongezi.

Consigliere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
12,037
24,595
Hii ni Post yangu ya 499.
Nimeshamaliza kuuza Binzali yangu sasa kale kafaida ningependa nishirikiane na yeyote katika kukala.
Jaribu kuandika kitu kitakachoniudhi au kunifurahisha na kufanya Post yangu ya 500 iwe ni jibu nitakalokujibu.
Nasitisha kutuma au kuchangia Post nyingine mpaka hapo kesho saa nne asubuhi ambapo nitatangaza MSHINDI, na kum PM zawadi yake (ambaye Tayari mtakuwa mnamjua, kutokana na zoezi lenyewe kuwa wazi huru na haki kuliko zoezi la kupiga kura)
 
Join date sept2010 post 499. Kweli una hitaji muda wa maongezi
 
Hisia zako unazijua mwenyewe. Hebu usituchoshe akili.
 
Hii ni Post yangu ya 499.
Nimeshamaliza kuuza Binzali yangu sasa kale kafaida ningependa nishirikiane na yeyote katika kukala.
Jaribu kuandika kitu kitakachoniudhi au kunifurahisha na kufanya Post yangu ya 500 iwe ni jibu nitakalokujibu.
Nasitisha kutuma au kuchangia Post nyingine mpaka hapo kesho saa nne asubuhi ambapo nitatangaza MSHINDI, na kum PM zawadi yake (ambaye Tayari mtakuwa mnamjua, kutokana na zoezi lenyewe kuwa wazi huru na haki kuliko zoezi la kupiga kura)

vocha naitaka, ila mashindano sitaki, tenda haki!
 
Napenda saaana Zawadi.... Ila tu kwa hili kama in-case nimeshinda nitaomba mimi ndo nikupe zawadi.... Is it allowed?? I wonder.... Post yangu inahusu kujaribu kukufafanua.... kwa upeo wangu ulipoishia....

Umetumia jina la Consigliere... Nimewahi uliza kwa one of a friend of mine neno Consigliere ni nini?? Nikaambiwa... NO' It is a name not a word, a name Chosen out of the Movie ya one of my Favourites Writter Mario Puzzo... Hilo jina likiwa owned by one of the most trusted person by Don Corleone of the Famous book/movie of "GOD FATHER" An all time movie.... Alipo niambie hivo that is when i noted as much as i appreciated the Lawyers part in the movie.... I never really did catch his name na i have watched the Movie more than 15 times....

Naangalia tena Avatar ulochagua.... Mara ya kwanza ilikua inanichanganya nikifikiri Mzizimkavu kabadilisha Jina... Only to notice no.... you are you. Then nafikiri kaweka picha ya one of the Great minds ever born hapa duniani... Just after kifo chake (Steve Jobs may he rest in peace) Thank God post zako as much as ni chache si haba.... Hukurupuki... I first noticed and knew you kwa post yako ya kwanza kati thread yangu ya Siasa Related.

Na observe signature as i always do za members woote... I relate it to the name you have chosen, to the Man who presents the man behing and i see zimeshahabiana saaana.... Na i say to myself, kwa vovote vile this man knows what he wants in life, how and where to get it. Na nafurahi for ni wachache wana bahati hio....

I may however be wrong... But No matter how wrong i am, that ... what i have written is what and how you look at JF, At least to me.... Hasa nikiunganisha na comment yako katika thread ya JF Super stars on the whole aspect ya kujiamini....

I pray God I win.... Dah! Mpaka mkono umeuma na ubongo kufikiria.....lol....


Pamoja Saaana

AshaDii.
 
Napenda saaana Zawadi.... Ila tu kwa hili kama in-case nimeshinda nitaomba mimi ndo nikupe zawadi.... Is it allowed?? I wonder.... Post yangu inahusu kujaribu kukufafanua.... kwa upeo wangu ulipoishia....

Umetumia jina la Consigliere... Nimewahi uliza kwa one of a friend of mine neno Consigliere ni nini?? Nikaambiwa... NO' It is a name not a word, a name Chosen out of the Movie ya one of my Favourites Writter Mario Puzzo... Hilo jina likiwa owned by one of the most trusted person by Don Corleone of the Famous book/movie of "GOD FATHER" An all time movie.... Alipo niambie hivo that is when i noted as much as i appreciated the Lawyers part in the movie.... I never really did catch his name na i have watched the Movie more than 15 times....

Naangalia tena Avatar ulochagua.... Mara ya kwanza ilikua inanichanganya nikifikiri Mzizimkavu kabadilisha Jina... Only to notice no.... you are you. Then nafikiri kaweka picha ya one of the Great minds ever born hapa duniani... Just after kifo chake (Steve Jobs may he rest in peace) Thank God post zako as much as ni chache si haba.... Hukurupuki... I first noticed and knew you kwa post yako ya kwanza kati thread yangu ya Siasa Related.

Na observe signature as i always do za members woote... I relate it to the name you have chosen, to the Man who presents the man behing and i see zimeshahabiana saaana.... Na i say to myself, kwa vovote vile this man knows what he wants in life, how and where to get it. Na nafurahi for ni wachache wana bahati hio....

I may however be wrong... But No matter how wrong i am, that ... what i have written is what and how you look at JF, At least to me.... Hasa nikiunganisha na comment yako katika thread ya JF Super stars on the whole aspect ya kujiamini....

I pray God I win.... Dah! Mpaka mkono umeuma na ubongo kufikiria.....lol....


Pamoja Saaana

AshaDii.

Umeniwahi...nilikuwa nataka kuandika mambo haya haya,ukishinda tutagawana zawadi...
 
Hehehe! We dawa ni kuporomoshewa mitusi hadi utajibu mwenyewe. Ngoja nikachukue dictionary langu la matusi kwa klorokwin.
 
Umeniwahi...nilikuwa nataka kuandika mambo haya haya,ukishinda tutagawana zawadi...

Walichoandika AD na VD ni uongo, kujipendekeza kuliko tukuka kwako. Wamekugeuza JK kwa vizawadi vya "airtime" uchwara kama mkuu anavyopotoshwa na washkaji zake na kuwatunukia vyeo mbalimbali. Hilo jina kwenye "Godfather" na wala sio "God father" halipo. Nahisi AD kwa kuwa ni small house yako hivyo ni wajibu wake kulilinda penzi. Jina hilo maana yake "mtu mwenye hulka za kifedhuli, baradhuli, kishenzi, hila mbaya, nyang'au na jasusi." potea na kivocha chako cha jero hapa hupati mtu. Fisadi hana jema!
 
Walichoandika AD na VD ni uongo, kujipendekeza kuliko tukuka kwako. Wamekugeuza JK kwa vizawadi vya "airtime" uchwara kama mkuu anavyopotoshwa na washkaji zake na kuwatunukia vyeo mbalimbali. Hilo jina kwenye "Godfather" na wala sio "God father" halipo. Nahisi AD kwa kuwa ni small house yako hivyo ni wajibu wake kulilinda penzi. Jina hilo maana yake "mtu mwenye hulka za kifedhuli, baradhuli, kishenzi, hila mbaya, nyang'au na jasusi." potea na kivocha chako cha jero hapa hupati mtu. Fisadi hana jema!



Nasoma post yako na my first reaction ni kushangaa.... Thank God sijakwazika, ila umenifanya niwe interested, kwamba why are you so angry?? Why yaonesha katika maisha wachukulia the pessimistic side instead ya kua optimistic, kwanza kabisa analysis ya God Father, pili hii thread na tatu maisha yalokuzunguka hasa Serkali yetu na mizengwe yake....

Unanifanya niende kwenye Profile nikupate na kukusoma zaidi... Narudi Kwenye jina ulochagua "Mkono mtupu" ina maana nyingi saana... Nikiunganisha na Avatar ulochagua na your pessimistic nature naweza sema ulikua unamaanisha "Mkono mtupu haulambwi" hivo wewe huna mercy dhidi ya walo kuzunguka.... Then narudi kwenye signature yako inayosema "Nipotezee Kiana" The I get the full picture.... You have been deprived of your wishes na sasa you are fade up.... Na most importantly you have been deprived of Love... From walokuzunguka, wale ambao unakua na mahusiano nao na Serkali yako..... The i say to my self "Mkono mtupu" is my new project wheather he likes it or not.... Too much anger in him and it is not healthy..... Mkuu do take care...

Pamoja Saana

AshaDii
 
Walichoandika AD na VD ni uongo, kujipendekeza kuliko tukuka kwako. Wamekugeuza JK kwa vizawadi vya "airtime" uchwara kama mkuu anavyopotoshwa na washkaji zake na kuwatunukia vyeo mbalimbali. Hilo jina kwenye "Godfather" na wala sio "God father" halipo. Nahisi AD kwa kuwa ni small house yako hivyo ni wajibu wake kulilinda penzi. Jina hilo maana yake "mtu mwenye hulka za kifedhuli, baradhuli, kishenzi, hila mbaya, nyang'au na jasusi." potea na kivocha chako cha jero hapa hupati mtu. Fisadi hana jema!

Nasoma post yako na my first reaction ni kushangaa.... Thank God sijakwazika, ila umenifanya niwe interested, kwamba why are you so angry?? Why yaonesha katika maisha wachukulia the pessimistic side instead ya kua optimistic, kwanza kabisa analysis ya God Father, pili hii thread na tatu maisha yalokuzunguka hasa Serkali yetu na mizengwe yake....

Unanifanya niende kwenye Profile nikupate na kukusoma zaidi... Narudi Kwenye jina ulochagua "Mkono mtupu" ina maana nyingi saana... Nikiunganisha na Avatar ulochagua na your pessimistic nature naweza sema ulikua unamaanisha "Mkono mtupu haulambwi" hivo wewe huna mercy dhidi ya walo kuzunguka.... Then narudi kwenye signature yako inayosema "Nipotezee Kiana" The I get the full picture.... You have been deprived of your wishes na sasa you are fade up.... Na most importantly you have been deprived of Love... From walokuzunguka, wale ambao unakua na mahusiano nao na Serkali yako..... The i say to my self "Mkono mtupu" is my new project wheather he likes it or not.... Too much anger in him and it is not healthy..... Mkuu do take care...

Pamoja Saana

AshaDii


....Duh!

..Unaweza kuwa Fortune teller..
 
Watu kujifanya wanawajua wenzao kupitia majina bandia inachekesha



Nasoma comment yako... Narudi kwenye jina, "Tigger" then inevitably naenda kwenye Signature yako.... Naunganisha dots..... Huku telling myself be careful of this wity member (maybe it is because i know your prominent Alter the so famous name hapa JF ambayo ipo behind bars... That alone inaniambia kua it is beta i say no more for i am already in trouble with the member kwa ajili ya mambo haya haya ya kujifanya namjua member kwa jina la bandia..... Na najuta why ever i had used the word "eccentric" to define the person in question. Hivo naona kabisa wacha ni heed hayo maneno (T-I-double geh err)

"astara vista amigo"

AshaDii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom